Category: MCHANGANYIKO
Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Yusuf Masauni amesema Serikali ya Tanzania imechukua hatua za kuimarisha maeneo ya bahari yaliyohifadhiwa. Amesema hatua hizo zimesaidia kukuza usimamizi endelevu wa uvuvi na kuongeza uwezo wa kuzuia…
Biashara saa 24 kuanza Februari 22
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema uzinduzi rasmi wa biashara kwa saa 24 utafanyika Februari 22, 2025 na utaanzia eneo la Ofisini za Mkuu wa Mkoa hadi Kariakoo kuwa…
Wawili wafariki kwa mvua Moro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Watu wawili wanaume wamefariki dunia kwa nyakati tofauti kutokana na athari za maji yaliyotokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali ndani ya Mkoa wa Morogoro. Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Alex Mkama amethibitisha Janauri…
Milioni 466 kutolewa kwa vikundi Mafia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Kiasi cha Shilingi Milioni 466 zinatarajiwa kutolewa kwa vikundi vya Wanawake, Vijana, na Watu wenye Ulemavu kama mkopo wa asilimia 10 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mafia. Akikabidhi hundi kwa vikundi vya wanufaika wa mkopo…