Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia aongoza mwanzo mpya, CCM kujenga jengo la ghorofa tano kuashiria ukomavu wa chama
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikijiandaa kufanya Mkutano wake Mkuu wa Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Mei 28, 2025, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la…
Waziri Mkenda avalia njuga sakata la madereva kwenda Qatar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Watu wanaowapeleka madereva kufanya kazi nje ya nchi wanawajibu wa kufanya utafiti kujua mahitaji ya eneo wanaloenda ni yapi tofauti na mahitaji ya magari ya Tanzania. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Profesa Adolf…
Waliofaulu vizuri Samia Scholaship kusomeshwa nje ya nchi – Waziri Mkenda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma. WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Profesa Adold Mkenda amesema kuwa kupitia SAMIA SCHOLARSHIP Vijana waliofanya mtihani wa kidato cha sita watakapochaguliwa ambao watapenda kusoma nje ya nchi wanatakiwa kukaa mwaka mmoja ambapo wataweka…
Bashe akutana na Waziri wa Kilimo wa Uganda
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Kilimo, Viwanda vya Nyama na Uvuvi kutoka Uganda, Kyakulaga Fred Bwino pamoja na Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Fred Mwesigye, leo Mei 27 jijini Dodoma. Katika Mazungumzo hayo…
Trump: Putin anacheza na moto
Rais wa Marekani Donald Trump alisema ameiokoa Urusi kutokana na “mambo mengi mabaya sana.” “Vladimir Putin hatambui kwamba ikiwa sio mimi, mambo mengi mabaya yangekuwa yametokea Urusi kufikia sasa,” aliandika kwenye mtandao wa kijamii wa Truth Social, bila kutoa maelezo…
Ukraine yatuma droni 100 kuelekea Urusi
Mifumo ya ulinzi wa anga ya Urusi inaripotiwa kuzidunguwa zaidi ya droni 100 za Ukraine usiku wa kuamkia leo kwenye maeneo mbalimbali ya nchi hiyo, zikiwemo zile zilizoelekezwa kwenye mji mkuu, Moscow. Kwa mujibu wa maafisa wa Urusi, mashambulizi hayo…





