Category: MCHANGANYIKO
Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali
MBOGWE WACHIMBAJI wadogo wa madini wilayani Nyang’wale wameishukuru Serikali kwa kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji ambao wanatoa msaada wa kiufundi ambapo elimu ya uchimbaji na vifaa vimetolewa kwa wachimbaji hao. Lengo ni kuwatoa kwenye uchimbaji mdogo na kuwa uchimbaji wa…
Dkt. Ndumbaro azitaka Bodi za Wadhamini zising’ang’anie madaraka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Katiba na Sheria Dk Damas Ndumbaro ameziagiza Bodi mbalimbali za Wadhamini wa taasisi ambazo zimemaliza muda wake wa uongozi kufanya uchaguzi mara moja ndani ya kipindi cha miezi miwili.Akizungumza kwenye ufunguzi…
Prof. Janabi miongoni mwa wagombea watano kumrithi Ndugulile WHO
Mmoja wa wataalamu wakubwa wa afya nchini Tanzania, Profesa Mohamed Janabi, ametangazwa rasmi kuwania nafasi ya Mkurugenzi wa Kanda wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Kanda ya Afrika. Prof. Janabi, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili…
Waziri Kikwete aitaka Bodi ya Wadhamini NSSF kuzingatia miongozo
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa nchi, ofisi ya Waziri Mkuu ,Kazi, vijana, ajira na watu wenye ulemavu, Mhe: Ridhiwani Kikwete ameitaka bodi ya wadhamini ya mfuko wa taifa wa uhifadhi jamii nchini NSSF kusimamia mpango mkakati…
Watanzania waombwa kuchangamkia fursa za masomo India
Na Lookman Miraji, JamahuriMedia, Dar es Salaam Ubalozi wa India nchini Tanzania, hivi karibuni umetangaza mpango wa ufadhili wa masomo wa (India-Africa Maitri Scholarship Scheme) chini ya baraza la uhusiano wa kitamaduni la India (ICCR). Fursa hizo zimeendelea kutangazwa kwa…
Zaidi ya leseni 4,000 kutolewa Mbogwe
ZAIDI ya leseni 4,000 zipo katika utaratibu wa kutolewa katika maeneo manne ya Mkoa wa Kimadini Mbogwe mkoani Geita, huku wazawa na wawekezaji kutoka nje wakitakiwa kuchangamkia fursa zilizopo mkoani humo. Akizungumza katika mahojiano, Afisa Madini Mkazi wa Mbogwe, Mhandisi…





