Category: MCHANGANYIKO
Ukraine yakiri wanajeshi wake kuingia eneo linalodhibitiwa na Urusi
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amekiri hadharani kwa mara ya kwanza kwamba vikosi vya Ukraine viko katika eneo la Belgorod, Urusi. Katika hotuba yake aliyoitoa Jumatatu, Zelensky alisema, “Tunaendelea kufanya operesheni za kijeshi katika maeneo ya mipakani kwenye ardhi ya…
Mwenge wa Uhuru wapitia miradi 15 yenye thamani ya bil. 2.8 Mafia -Mangosongo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhutiMedia, Mafia Mwenge wa Uhuru umetembelea ,kukagua na kuweka jiwe la msingi miradi 15 yenye thamani ya zaidi ya sh bilioni 2.8 . Akipokea mwenge wa Uhuru Aprili 7, 2025, kwa mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Kanali…
Balozi Nchimbi amaliza ziara yake Ruvuma
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amehitimisha ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma, akisisitiza kuwa CCM itaendelea kuwa chama cha wanachama, kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wote na kuwa mtetezi wa wanyonge. Balozi…
CHAUMA: Wakurugenzi wanatuharibia uchaguzi
Na Ruja Masewa, Jamhuru Media Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kimesema, Wakurugenzi na Watendaji wa Halmashauri nchini, “Wanatuharibia Uchaguzi“. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mwenezi wa CHAUMA Ipyana Samson Njiku (leo) Aprili 7, 2025 mkoani hapa, wakati akitoa tamko…





