Category: MCHANGANYIKO
Kongamano la Nishati Safi kufanyika Msasani Beach Agosti 26,2025
Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es salaam Kikundi Cha mama lishe Kawe”Ngome ya mama” Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na kampuni ya Camgas -Camel Oil Ltd,kimeamdaa kongamano la kuhamasisha Matumizi ya Nishati Safi ya kupikia litakalofanyika Msasani Beach Agost, 26 Mwaka huu….
Polisi Ruvuma yamsakama ‘Mama Yusta’ kwa tuhuma za kumng’ata mdomo jirani na kukimbia na kipande
Na Cresencia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma linamsaka mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Moria maarufu kwa jina la Mama Yusta baada ya kumjeruhi Kanisia Hinju (30) mkazi wa kijiji cha Kihuru wilayani Nyasa kwa kumng’ata meno…
Wawili mbaroni kwa tuhuma za mauaji Ruvuma
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuufwa mwendesha boda boda Ramadhani Hakimu (19) mkazi wa mateka Manispaa ya Songea ambao inadaiwa kabla ya kumuuwa walimpiga sehemu mbalimbali za mwili kisha…
Nane mbaroni kwa kukutwa na nyara za Serikali, akutwa na bidhaa bandia Ruvuma
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMesia, Songea JESHI la Polisi mkoani Ruvuma limewatia mbaroni watu saba kwa tuhuma za kupatikana wakiwa na nyara za serikali, meno ya Tembo 64, kati yake mazima yakiwa 8 na vipande 56,meno ya Kiboko 145 na meno…
TPA yachukua hatua mbalimbali uboreshaji miundombinu babdarini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA) imechukua hatua mbalimbali ikiwemo uboreshaji wa Miundombinu, kusimika mifumo bora ya TEHAMA na kushirikisha Wadau wa Sekta Binafsi wakiwemo waendeshaji wa Bandari, ili kuongeza ufanisi…





