Category: MCHANGANYIKO
Wananchi Dodoma wanufaika na elimu ya madini katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Maelfu ya wananchi kutoka Mkoa wa Dodoma na mikoa ya jirani wamejitokeza kwa wingi katika viwanja vya Chinangali kushiriki Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, huku wengi wakivutiwa na Banda la Tume ya Madini…
Rais Samia atembelea mradi wa REA Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametembelea mradi wa nishati safi ya kupikia wa shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu iliyopo Bariadi mkoani humo na kupewa maelezo na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith…





