Category: MCHANGANYIKO
Serikali yaingiza bilioni 17 kwa mchezo kubeti
Michezo ya kubahatisha imeingiza serikalini kiasi cha Sh Bil.17.42 kwa mwaka wa fedha 2024/25, huku ikipanga kukusanya Sh Bil.29.89 kwa mwaka wa fedha 2025/26. Kauli hiyo imetolewa bungeni na Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba alipokuwa akiwasilisha mapitio ya utekelezaji…
Mchengerwa awafunda walimu
Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi. Mhe. Mchengerwa ametoa rai hiyo kwenye mkutano wa walimu na wadau…
EWURA yatangaza kushuka kwa bei ya petroli
Na Mwandishi Wetu Bei ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kwa mwezi Juni 2025, imeendelea kuleta nafuu kwa watumiaji wa vyombo vya moto, nchini, ikilinganishwa na bei za mwezi Mei 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya…
Raia wa nchi 71 kuingia Tanzania bila Viza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini. Kwa sasa watalii kutoka mataifa mengi zaidi duniani wanaruhusiwa kupata visa wanapowasili (visa on arrival)…
TRA kukusanya trilioni 43.10 2025-2026
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Bunge la bajeti likiwa linaendelea Dodoma,Waziri wa Fedha,Dkt Mwigulu Nchemba amesema kwa mwaka wa fedha 2025/26, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kukusanya mapato ya kodi na yasiyo ya kodi ya jumla ya shilingi trilioni 34.10. Hayo…
Rais Mstaafu Kikwete aongoza ujenzi wa Taasisi Himilivu ya Ubia wa Elimu Duniani
Na Mwandishi Wetu Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete ameongoza Mkutano wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (Global Partnership for Education, GPE), ambaye yeye ni Mwenyekiti wake. Mkutano huo unaofanyika Paris, Ufaransa tarehe 3-4 Juni, 2025 unahudhuriwa na Wajumbe…





