Category: MCHANGANYIKO
Dk Makakala aipongeza CBE kwa kuzingatia usawa wa kijinsia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMISHNA Jenerali wa Uhamiaji Dk Anna Makakala, kuna umuhimu wa kuchukua hatua za dhati na za kimkakati ili kuhakikisha kuwa usawa wa kijinsia unakuwa sehemu ya maisha ya kila siku na kuhamasisha wanawake kujitokeza…
Waziri Mkuu aupongeza mradi wa EACOP kwa kutoa kipaumbele cha ajira kwa wazawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa ameupongeza mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kuajiri Watanzania zaidi ya elfu sita wanaohudumu kwenye mradi huo mkubwa wa…
Fisi waharibifu wazidi kudhibitiwa Simiyu, Kongwa
Na Sixmud Begashe, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imeendelea kuongeza jitihada zaidi za kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu hususani Fisi katika maeneo mbalimbali hapa nchini ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kuishi kwa amani na usalama. Akizungumzia jitihada hizo…
Poland yaonesha nia kushiriki ujenzi wa SGR
Na Benny Mwaipaja, Warsaw-Poland Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameishukuru Serikali ya Poland kupitia Shirika lake la Bima (KUKE), kwa kuonesha nia ya kudhamini upatikanaji wa fedha kwa ajili ya Ujenzi wa kipande cha 3 na…





