Category: MCHANGANYIKO
JKCI yatibu wagonjwa 745,837 kwa Mlmiaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan imeona jumla ya wagonjwa 745,837 ambao kati ya hao watu…
Msajili wa Hazina na CAG kushirikiana katika usimamizi wa Mashirika ya Umma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani, Ikiwa ni sehemu ya dhamira na jitihada za kuhakikisha taasisi na mashirika ya umma yanaongeza mchango katika ustawi wa uchumi wa Taifa, Ofisi ya Msajili wa Hazina na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi zimekubaliana kushirikiana…
Dk Biteko ahimiza mshikamano, upendo na Umoja Msalala
*Awaasa Wanamsalala kuchagua maendeleo badala ya maneno *Rais Samia atakeleza Ilani ya CCM kwa 99% Msalala *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa angependa…
BoT yaonya ulaghai upatu mtandaoni
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema inaendelea kuchukua hatua za kisheria dhidi ya maofi sa wa Kampuni ya Leo Beneath London (LBL) wanaodaiwa kujihusisha na ulaghai ukiwamo wa kupokea amana, kutoa riba na kufanya uhaulishaji wa fedha bila kuwa na…
Wanafunzi, walimu wanusurika kifo baada ya jengo la darasa kuanguka Same
Na Ashrack Miraji,JamhuriMedia, Same Wanafunzi 30 pamoja na mwalimu mmoja wa Shule ya Sekondari Tumaini Jema, iliyopo wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kifo baada ya jengo moja la darasa walilokuwa wakisomea kuanguka kutokana na upepo mkali. Wanafunzi hao pamoja na…





