JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Majina ya majeruhi walionusurika ajali ya kuporomoka gorofa Kariakoo

……………. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amethibitisha kutokea kwa kifo cha mtu mmoja na wengine 28 kuokolewa wakiwa wamejeruhiwa katika ajali ya kuporomoka kwa ghorofa iliyotokea asubuhi ya leo, Novemba 16 Kariakoo jijini Dar es…

Waliofariki kwa kuporomokewa na ghorofa Kariakoo wafikia watano

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam IDADI ya watu waliopoteza maisha baada ya kufukiwa na jengo lililoporomoka Kariakoo jijini Dar es Salaam imefikia watano huku majeruhi waliookolewa wakiongezeka na kufikia 42. Jengo hilo linaelezwa kuporomoka mapema leo Jumamosi Novemba…

Katimba awajengea uwezo watendaji wa vijiji, kata na maafisa maendeleo ya jamii

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi ndugu Khamis Jaaphar Katimba amewajengea uwezo wa kiutendaji Maafisa maendele ya Jamii wa Kata, Watendaji wa Vijiji na Watendaji Kata ili waweze ksimamia na kutekeleza vizuri majukumu yao. Watendaji hao wamefahamishwa majukumu…

DAS Mhanga atoa somo kwa watendaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Malinyi KATIBU Tawala wa Wilaya ya Malinyi, Saida Mhanga amewataka Maofisa Maendele ya Jamii wa Kata, Watendaji wa Vijiji na Kata kusimamia Kanuni za Utawala Bora katika kutekeleza wa majukumu yao ya kila siku. Akizungumza katika…

Dk Mabula : Tunatoa onyo kwa wanaopita kuwachafua wenyeviti tuliowateua

Mbunge wa Jimbo la Ilemela ambae pia ni mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa MNEC Mhe Dkt Angeline Mabula ametoa onyo kwa watu wasiokitakia mema chama cha mapinduzi kwa kupita katika mitaa na kuanza kuwachafua wagombea wa nafasi ya…

Spika Tulia atembele banda la Tanzania COP29

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson amesema ni wakati sasa umefika kwa Mataifa yanayoendelea kuchukua hatua katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Ametoa kauli hiyo…