Category: MCHANGANYIKO
Jela miaka 30 kwa kubaka mtoto
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Igunga Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora imemuhukumu Hamisi Ndari (33) mkazi wa kitongoji cha Mizanza, Kata ya Sungwizi kutumikia adhabu ya kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kupatikana na kosa…
Rais Dkt. Samia kufungua mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini 2024
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika sekta ya madini mwaka 2024 utakaofanyika kuanzia Novemba 19 hadi 21,…
Maendeleo uwekezaji mradi wa Liganga na Mchumba
*Utazalisha tani 219 za Chuma *Tani 175,400 za Titanium *Tani 5000 za Vanadium Wakati Serikali ikiendelea na jitihada mbalimbali za kutafuta mwekezaji wa mradi wa Liganga na Mchuchuma uliopo wilaya ya Ludewa mkoani Njombe,Tanzania inatarajiwa kuwa mzalishaji mkubwa wa madini…
TAKUKURU Pwani yazuia michango isiyofikishwa katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani, kwa kipindi cha Julai hadi Septemba, 2024 imefanikiwa kuzuia mfumo wa ukusanyaji wa michango ya waajiri ambao wamekuwa hawapeleki michango ya waajiriwa wao katika…
Tanzania kuungana na dunia usalama wa afya kimataifa
*Dkt. Biteko Afungua Kongamano la 14 la CUHAS * Dkt. Biteko Aipongeza CUHAS kwa Tafiti na Mchango wake katika Sekta ya Afya *Wanasayansi Kuunganisha Afya ya Binadamu, Wanyama na Mazingira kwa Matokeo Bora ya Afya Na Ofisi ya Naibu Waziri…
Mbaroni kwa mauaji ya mtoto wa miezi minne Bukoba
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linawashikiria watuhumiwa wawili wa mauaji ya mtoto wa miezi minne yaliyotokea Novemba 9, mwaka huu ,katika kijiji cha Itahwa Kata ya Kalabagaine wilayani Bukoba mkoani Kagera. Kamanda wa Polisi mkoani hapo Blasius Chatanda amesema,wakiwa…