Category: MCHANGANYIKO
Upekee jiolojia ya Tanzania wahamasisha washiriki mkutano wa madini muhimu Afrika
Utekelezaji Vision 2030 wawa chachu ya uwekezaji 📍 Capetown Imeelezwa kuwa Jiolojia ya kipekee ya Tanzania inadhihirishwa na uwepo wa Madini ya Tanzanite ambayo hayapatikani kwingine popote duniani huku yakitajwa kuwa ni madini adimu mara Mia ya madini ya almasi…
Wahariri watakia kupambana na magonjwa ya moyo, JKCI yaeleza vyanzo vya magonjwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wahariri wa vyombo vya habari nchini wametakiwa kuchukua hatua katika kupambana na magonjwa ya moyo ikiwa ni pamoja na kula vyakula bora, kufanya mazoezi na kutokunywa pombe kupitiliza. Rai hiyo imetolewa leo jijini…
Shekalage : Kuweni waadilifu, wawazi, nidhamu na pesa za wafadhili
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, jinsia Wanawake na Makundi Maalumu Dr Seif Shekalage amezitaka asasi za kiraia nchini kuwa waadilifu, wawazi wenye nidhamu ya pesa zinazotolewa na wafadhili kwa ajili ya usimamizi wa…
Wagombea hawajaridhishwa na uteuzi, waweke pingamizi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waweke pingamizi ndani ya siku 2…
Wahariri na waandishi wa habari watakiwa kuweka maazimio ya kukuza taaluma
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wahariri na Waandishi wa habari nchini,wametakiwa kuweka maazimio machache yatakayokwenda kufanyiwa kazi kama sehemu ya kukuza taaluma ya habari eneo la weledi. Kauli hiyo ilitolewa na Naibu Katibu mkuu Wizara ya Habari Mawasiliano…
Kuongezeka kwa viwango vya maji katika Ziwa Victoria kunatishia kisiwa cha Ukerewe
Kufuatia mabadiliko ya hali ya hewa na vipindi vya mvua visivyotabirika, Ziwa Victoria limeshuhudia kuongezeka kwa kiwango cha maji kwa kiwango kikubwa hali inayoweka mazingira na watu wa Ukerewe katika hatari. Kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi wa satelaiti mwaka…