Category: MCHANGANYIKO
Dk.Mpango aipongeza CTI tuzo za PMAYA
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia,Dar es Salaam MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango amelipongeza Shirikisho la Wenye Viwanda (CTI) kwa kuratibu vyema tuzo za wenye viwanda tangu kuanzishwa kwake. Alitoa pongezi hizo leo jijini Dar es Salaam wakati wa kutoa tuzo…
REA kujenga mifumo nishati safi sekondari Ruhinda
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeahidi kujenga mifumo ya nishati safi ya kupikia pamoja na jiko katika Shule ya Sekondari ya Mchanganyiko ya Ruhinda iliyopo Wilaya ya Karagwe, Kagera. Ahadi hiyo imetolewa Novemba na Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan…
TAKUKURU Kinondoni kupokea malalamiko 104
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni imesema katika kipindi cha kuanzia mwezi Julai hadi Septemba 2024 wamepokea malalamiko 104 yaliyohusu rushwa 72, yasiyohusu rushwa 32 . Akitoa taarifa hiyo leo…
Maonesho ya bidhaa za vifungashio yazinduliwa Dar
Na Lookman Miraji Kwa mara nchini maonyesho ya bidhaa za vifungashio vya makaratasi yamezinduliwa jijini Dar es Salaam, hapo jana. Maonyesho hayo yajulikanayo kama “Pro paper Tanzania” yamejumuisha kampuni mbalimbali za utengenezaji wa vifaa vya upakiaji kutoka nchi mbalimbali. Pazia…
Kapinga asema mafanikio sekta nishati yanatoka na jitihada za Rais Samia
📌 Ni wakati akitoa mchango Bungeni kuhusu Mpango wa Taifa wa Maendeleo 📌 Ataja kuongezeka kwa kiasi cha umeme katika Gridi ya Taifa 📌 Aeleza usambazaji umeme vijijini ulivyofanyika kwa mafanikio; Vijiji 78 Tu vyasalia 📌 Aeleza jitihada zilizofanyika Sekta…
Putin Amwaga sifa kwa Trump
Rais wa Urusi Vladimir Putin amempongeza Donald Trump kwa ushindi wake wa uchaguzi, akimtaja kuwa “mtu jasiri”. Akizungumza katika hafla moja katika mji wa Sochi nchini Urusi, Putin alisema kuwa Trump “alidhulumiwa kutoka pande zote” katika muhula wake wa kwanza…