JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara ya Michezo yaikabidhi siku 120 Suma JKT kukamilisha viwanja vya michezo

Na Lookman Miraji Wizara ya michezo imesaini mkataba na kampuni ya ujenzi ya Suma JKT juu ukarabati wa viwanja vya michezo nchini. Mkataba huo umesainiwa leo hii huko ikihusisha ukarabati ya viwanja vya michezo ambavyo vitatumika katika mashindano yajayo ya…

Aweso ataka utafiti upatikanaji maji Dodoma

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewata wataalamu kufanya utafiti wa kina wa upatikanaji wa maji jijini Dodoma ili kuruhusu uchimbaji wa visima virefu kwa haraka katika mkoa huo kutatua tatizo la upungufu wa maji linalotokana na ongezeko la watu katika…

NMB kuchangia bil.1/- matibabu ya watoto JKCI

Na Mwandishi Wetu  BENKI ya NMB na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), wamesaini makubaliano ya ushirikiano yatakayowezesha benki hiyo kusaidia gharama za matibabu ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo kwa kiasi cha Sh. Bilioni 1 kwa miaka minne,…

Benki ya Dunia yaridhishwa na utekelezaji wa mradi wa Heet Chuo Kikuu Mzumbe

Ujumbe kutoka Benki ya Dunia umeonesha kuridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) unaoendelea Chuo Kikuu Mzumbe, baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa majengo mapya ya taaluma. Mradi huu unalenga…

Watoto 85 wapatikana kwa upandikizaji mimba Kairuki Green IVF

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUMLA ya watoto 85 wamezaliwa kwa huduma ya kupandikiza mimba inayotolewa na kituo cha Kairuki Green IVF tangu kuanzishwa kwake mwaka 2022. Hayo yalisemwa jana Bunju Mianzini jijini Dar es Salaam kilipo kituo…

Waliotuhumiwa kuingilia mfumo ya mawasiliano wasomewa mashtaka 120

Watuhumiwa 20 wa makosa ya kuingilia mifumo ya mawasiliano wamefikishwa Mahakamani jana jioni katika mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha huku wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi yanayojumuisha makosa 120 ikiwemo Utakatishaji wa Fedha. Akisoma mashtaka katika kesi namba 30977 ya…