Category: MCHANGANYIKO
Madiwani Malinyi washauriwa kuwa mfano ya kutoa hamasa wananchi kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Malinyi MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi wametakiwa kuwa mfano katika kutoa hamasa kwa wananchi kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba 2024. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Tawala wa…
Baraza la Afya ya Akili kuanzishwa nchini
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali inatarajia kuanzisha Baraza la Afya ya Akili Nchini litakalosimamia muundo utakaoratibu Sekta mbalimbali za kitaaluma na kiutendaji ili kushugulikia ufanisi wa suala la afya ya akili. Majaliwa amesema hayo Bungeni Jijini Dodoma…
‘Maumivu ya kifua upande wa kushoto hutokana na tatizo la mshtuko wa moyo’
Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group, Dk Tulizo Shemu amesema changamoto za maumivu makali upande wa kushoto wa kifua wakati mwingine hutokana na tatizo la mstuko wa moyo. Kutokana na hili amewashauri jamii kufika hospitali…
Naibu Katibu Mkuu uchukuzi atembelea ofisi za TMA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi Ndg. Ludovick Nduhiye amefanya ziara ya kutembelea ofisi za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) zilizopo katika jengo la Ubungo Plaza, Dar es Salaam ikiwa ni moja ya malengo yake ya kuzitambua Taasisi…