JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mawe yaliyoko njia ya mkojo yavunjwa kwa teknolojia salama

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam HOSPITALI ya Mfumo wa Mkojo na Uzazi ya MDM ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imeandaa kambi maalum endelevu kuanzia tarehe 8 Jumatatu kwaajili ya matibabu ya maradhi ya mfumo wa mkojo…

Serikali kuendelea kuwawezesha vijana

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Riziki Pembe Juma amesema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana katika kuhakikisha wanapata elimu itakayowawezesha kujiajiri na kuajirika. Akifunga mafunzo ya upambaji wa uso (make up) katika ukumbi wa Baytul…

TMA yatoa taarifa ya kupatwa kwa mwezi kesho

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema kesho Septemba 7, 2025 inatarajia kutokea tukio la kupatwa kwa mwezi . Hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha…

Mkuu wa Mkoa Songwe awataka wananchi, kamati ya ulinzi na usalama kuwa macho na miradi ya umwagiliaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Songwe Jabir Makame, amewataka wananchi wa mkoa huo na kamati ya Ulinzi na Usalama kuwa macho na kutocheka na yeyote anayehujumu miradi ya Umwagiliaji. Amesema fedha zinazowekezwa na Serikali…

Dk Biteko asema mgombea mwenza ni chaguo sahihi na mwalimu wa wengi

📌 Asema Dkt. Nchimbi ni mtu mwema anayejua shida za watu 📌 Mamia wajitokeza Kampeni za CCM Katoro 📌 Asema Katoro hawana mbambamba, awaomba Oktoba kuchagua wagombea wa CCM Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka…

Polisi yamsaka mwanamke aliyemfanyia ukatili mtoto

Jeshi la Polisi limeona picha mjongeo inayosambaa katika mitandao ya kijamii akionekana mwanamke mmoja akimhamasisha na kumnywesha pombe mtoto mdogo jambo ambalo ni ukatili kwa mtoto na ni kinyume na sheria za nchi. Sheria hizo ni pamoja na Sheria ya…