JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mtoto aliyetekwa anasuliwa kwa mtekaji akiwa hai na afya njema

Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limefanikiwa kumnasua mtoto wa kiume wa miaka wa miaka 8 anayesoma shule ya Msingi Mbezi Ubungo Dar es Salaam aliyetekwa Machi 6 , 2025 na Stanley…

Rais Samia : Tanzania ni msimamizi Mpango wa Nishati Safi Afrika

๐Ÿ“ŒAsema Ajenda ya Nishati Safi ni ajenda ya Nchi hivyo tunaisimamia Afrika. ๐Ÿ“ŒNishati ni Mpango wa Maendeleo endelevu ๐Ÿ“ŒUmeme umesambazwa Vijiji vyote nchini ๐Ÿ“Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania ni Msimamizi…

TAWA na Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Morogoro

๐Ÿ“Katika kuadhimisha Kilele cha Siku ya Kimataifa ya wanawake Machi 08, 2025, wanawake shupavu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA pia walikuwepo katika mji wa Ifakara, Wilaya ya Kilombero, Mkoa wa Morogoro kuungana na maelfu ya wanawake…