Category: MCHANGANYIKO
Tuzo za Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kufanyika Aprili 13,2025
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu ambayo inalenga kuendelea kuchochea uandishi wa vitabu, usomaji na kukuza matumizi ya lugha ya…
Serikali yajizatiti kukabiliana na changamoto ya wanyama wakali na waharibifu
Na Mwandishi Wetu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejizatiti kukabiliana na changamoto ya wanyama wakali na waharibifu kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwemo matumizi ya teknolojia za kisasa ili kulinda uhai wa wananchi na mali zao. Haya yalisemwa na…
Arusha mwenyeji kongamano kubwa la Usalama Mtandaoni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKATI vitisho vya kimtandao vinaendelea kutajwa kuongezeka duniani, Tanzania inaendelea na juhudi za kulinda miundombinu yake ya kidijitali, kwa kuandaa kwa mara nyingine Kongamano kubwa la Usalama Mtandaoni. Kongamano hilo linalotarajiwa kufanyika kwa…
TRA yavipongeza vyombo vya habari kuhamasisha wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imevipongeza vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari nchini, kwa kuhamasisha wananchi hasa wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari,kujua umuhimu wa kudai risti wanaponunua bidhaa na wafanyabishara kutoa risti wanapouza bidhaa….
Dk Carreen Rose Rwakatale ahamasisha ujenzi nyumba ya Katibu wa Wazazi CCM
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ifakara MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi (CCM) Mkoa wa Morogoro Dk. Careen-Rose Rwakatale amewataka viongozi wa (CCM) Wilaya mbalimbali mkoani hapa kuhakikisha wanajitoa katika ujenzi wa wa chama hawadhalilishwi kwa kufukuzwa kwenye nyumba za kupanga. Dk….





