JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

CHAUMA: Wakurugenzi wanatuharibia uchaguzi

Na Ruja Masewa, Jamhuru Media Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kimesema, Wakurugenzi na Watendaji wa Halmashauri nchini, “Wanatuharibia Uchaguzi“. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mwenezi wa CHAUMA Ipyana Samson Njiku (leo) Aprili 7, 2025 mkoani hapa, wakati akitoa tamko…

Rais Mwinyi : Tuzindue mpango wa ujuzi kwa vijana katika uchumi wa buluu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema ni muhimu kuzinduliwe mpango wa ujuzi wa Vijana wa Jumuiya ya Madola ambao utawapa vijana milioni moja ujuzi katika sekta ya uchumi wa bluu na kijani ifikapo…

Makamu wa Rais ashiriki kumbukizi ya miaka ya 53 ya kifo cha hayati Karume

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameungana na Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi katika Dua na  Kumbukizi ya Miaka 53 ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la…

Profesa Lipumba atoa ya moyoni kuhusu bajeti

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar Salaam MWENYEKITI wa Chama Wananchi (CUF), Prof. Ibrahimu Lipumba ameshauri ili kuwatendea haki Watanzania hotuba ya Waziri Mkuu kuhusu bajeti ianze kutolewa ufafanuzi wa kwa nini malengo ya mpango wa tatu wa maendeleo hayajafikiwa licha ya…

Tuzo za Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kufanyika Aprili 13,2025

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu ambayo inalenga kuendelea kuchochea uandishi wa vitabu, usomaji na kukuza matumizi ya lugha ya…