JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wabunge wazidi kuvutiwa zaidi na utendaji kazi mzuri wa Bandari

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imeendelea kupokea sifa za utendaji mzuri wenye tija kwa taifa kutoka kwa kamati mbalimbali za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Taifa baada ya Kamati ya…

Sekta za uchukuzi, usafirishaji zatakiwa kuongeza ufanisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es SEKTA ya Uchukuzi na Usafirishaji imetakiwa kushirikiana na kujadiliana mara kwa mara, ili iweze kuongeza tija na ufanisi kwa nchi. Mkutano huo mkubwa wa siku moja uliwakutanisha wadau wa sekta ya uchukuzi kwa njia…

Shirika la Msalaba Mwekundu lakasirishwa na mauaji ya madaktari Gaza

Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) limesema “limekasirishwa” kwamba madaktari wanane wa Kipalestina waliuawa pamoja na wahudumu sita wa Ulinzi wa Raia na mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa na vikosi vya Israeli kusini mwa…

Wasira : CCM haibishani na CHADEMA

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu kiongozi mstaafu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda. Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani…

Rais Samia awasisitiza viongozi wa dini kutoruhusu majukwaa ya kiimani kutumika kuhubiri siasa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini kuendelea kudumisha amani ya nchi na kubaki kwenye jukumu la kuwalea wananchi kiroho. Taarifa iliyotolewanna Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Shirika Nyanga imesema…