JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

China yakasirishwa na mpango wa Marekani kwa wanafunzi wake

China imekasirishwa na hatua ya serikali ya Marekani kuapa kubatilisha visa za wanafunzi wa China walioko Marekani, ikiita hatua ya Rais Donald Trump kuwa ya kisiasa na kibaguzi. Awali Marekani ilisema itaondoa nafasi ya wanafunzi hao kuomba visa za kuingia…

Kapinga ataja vigezo vya ziada upelekaji umeme vitongojini

📌 Lengo ni kuhakikisha kila Jimbo linakuwa na vitongoji vingi vilivyofikiwa na umeme 📌 Vinahusisha mahitaji ya kiuchumi na Kijamii, ukubwa wa Jimbo na Kitongoji 📌 Mkurugenzi Mkuu REA atakiwa kumsimamia kwa karibu Mkandarasi wa miradi ya Vitongoji Ziwa Tanganyika…

Waandishi wa habari, AZAKI wajengewa uwezo masuala ya uwajibikaji

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dodoma Taasisis za WAJIBU na Policy Forum, wamezindua mradi wa raia makini kwa kuwajengea uwezo wanahabari na AZAKI katika suala la uwajibikaji kwenye usimamizi wa fedha za umma ili waweze kushiriki kikamilifu katika kudai uwazi na…

REA yahamasisha wananchi kuchangamkia fursa miradi ya nishati safi ya kupikia

Na Mwandiahi Wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetoa wito kwa wananchi kote nchini kuchangamkia fursa zilizopo kwenye mnyororo mzima wa uzalishaji na usambazaji wa bidhaa za Nishati Safi ya Kupikia ili kujiongezea kipato sambamba na…

Rais Samia aridhia ajira mpya 300 TRA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kuongeza nafasi za ajira 300 katika mamlaka hiyo. Taarifa ya Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala TRA, Moshi Kabengwe kwa niaba ya Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph…