Category: MCHANGANYIKO
Mbaroni kwa kumuua mpenzi wake kwa kumkatakata na wembe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Polisi mkoani Shinyanga inamshikilia Pendo Medusela (37), mkazi wa Manispaa ya Shinyanga, kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake, Timithoy Magesa (35), kwa kumkatakata kwa wembe sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kile kilichodaiwa ni kutokana…
Majaliwa mgeni rasmi maadhimisho ya miaka 50 TEWW
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Agosti 25, 2025 ni mgeni rasmi katika kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima inayofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es…
Waziri Mavunde aweka jiwe la msingi la ujenzi wa Maabara ya Kisasa ya Madini Dodoma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya madini baada ya kuanza rasmi kwa ujenzi wa maabara kubwa na ya kisasa ya uchunguzi wa sampuli za madini itakayotoa huduma bora na za haraka kwa wadau wa sekta hiyo…
Komolo yapata shule mpya ya Ole Mbole, Eclat Foundation waikabidhi Serikali
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Shirika lisilo la Kiserikali la ECLAT Foundation Kwa kushirikiana na Upendo Association ya Ujerumani wamejenga Shule Mpya ya Msingi ya Ole Mbole iliyojengwa Kwa gharama ya sh.mil.169.2 katika Kijiji na Kata ya Komolo, Wilaya ya…
Tanzania kuwa kinara utoaji wa huduma za kimaabara Afrika Mashariki na Kati
▪️Waziri Mavunde aweka jiwe la Msingi wa Ujenzi wa Maabara ya kisasa ▪️Ni maabara kubwa ya uchunguzi wa sampuli za madini Afrika Mashariki ▪️Kugharimu Tsh Bilioni 14.3 ▪️Rais Samia atajwa kinara wa mageuzi sekta ya madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,…
DED Nyasa akagua miradi yenye thamani ya mil.582,017,569/-
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Nyasa DC Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Khalid Khalif ameendelea na utaratibu wake wa kawaida wa kuwatembelea wakandarasi kwenye Kandarasi za Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa ikiwa ni sehemu ya kuhimiza ukamilishwaji kwa…





