JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Yaliyojiri leo Januari 28, 2025 wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika

Aliyosema Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko Mara nyingi husemwa kuwa mustakabali wa dunia ni wa Afrika. Kauli hii inahusishwa na idadi kubwa ya vijana Barani Afrika pamoja na utajiri wa rasilimali zake. Hata hivyo, naamini…

Hotuba ya Rais Samia katika Mkutano wa Nishati wa Afrika – Misheni ya 300

………………………… OPENING ADDRESS BY HER EXCELLENCY DR. SAMIA SULUHU HASSAN, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DURING THE AFRICA HEADS OF STATE ENERGY SUMMIT, DAR ES SALAAM, 28TH JANUARY, 2025 (ENGLISH AND KISWAHILI) On behalf of the peoples and…

Chuo cha Furahika champongeza Rais Dk Samia kuithamini elimu ya amali

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es slSalaam KAIMU Mkuu wa Chuo Cha Ufundi Cha Veta Furahika , Dk David Msuya, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kwa kuithamini elimi ya amali ambayo huendana na…

Rais Samia : Matumizi ya kuni na mkaa ni zaidi ya asilimia 90

Waafrika wanategemea sana matumizi ya kuni hivyo hatuwezi kupuuza madhara pamoja na gharama kubwa ya kuni na mkaa kwa ajili ya ustawi wa wanawake na wasichana. Hayo yamebainishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan huku…

Ukosefu wa umeme wa kutosha hupunguza Pato la Taifa -AFDB

Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salam Ukosekanaji wa umeme wa kutosha hupunguza pato la Taifa (GDP) kwa asilimia 2 hadi 4 kwa kila mwaka.Upatikanaji wa umeme ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi wa Afrika. Hayo yameelezwa na Rais wa…