Category: MCHANGANYIKO
Sumve waombwa kupiga kura nyingi za heshima kwa CCM – Dk Biteko
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM, Taifa na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe, Doto Mashaka Biteko amewahimiza wananchi wa Jimbo la Sumve, wilaya ya Kwimba Mkoani Mwanza kuwapigia kura wagombea wa CCM kwa kuwa Chama hicho…
Majiko banifu teknolojia ya kisasa inayotumia mkaa kidogo
📌Yanapunguza sumu ya mkaa kwa watumiaji 📌 Ni rafiki kwenye utunzaji wa mazingira 📌Majiko banifu 1000 kuuzwa kwa bei ya ruzuku katika Maonesho ya Madini Geita Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Imeelezwa kuwa majiko banifu yanayotolewa kwa bei ya ruzuku…
Majaliwa asema CCM imejipanga kuendelea kuleta maendeleo
*Asema Rais Dkt. Samia na Dkt. Mwinyi ni Madaktari wa Maendeleo *Asisitiza kuichagua CCM ni kuchagua Maendeleo. *Awaomba wananchi kumchagua Mhe. Hemed kwa kishindo Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Chama cha Mapinduzi…
Dk. Nchimbi imani huzaa imani
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Nyasa Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Emmanuel Nchimbi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kumteua kwake kuwa mgombea mwenza. Dk Nchimbi ametoa kauli hiyo, wakati akizungumza na mamia ya wananchi wa Wilaya ya Nyasa mkoani…
Aahidi ujenzi reli mpya Mtwara,Nyasa
Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media-Nyasa Mgombea urais wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amasema serikali itajenga reli ya kisasa yenye urefu wa kilomita 1,000 kutoka Mtwara mpaka Mbamba Bay mkoani Ruvuma. Rais Samia ametoa kauli hiyo…
Mtendaji Kata ya Lionja afikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa
Na Mwandishi Wetu, Lindi Mnamo Septemba 18, 2025 katika mahakama ya wilaya ya Nachingwea limefunguliwa shauri la Uhujumu Uchumi namba 22689/2025 mbele ya Hakimu Mwandamizi Mkuu J.Mnguto, Jamhuri dhidi Seleman Ajibu Chimogo ambaye ni Afisa Mtendaji wa Kata ya Lionja…





