JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Pwani mwamko mkubwa, waomba kuongezewa siku za uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Wananchi wa mkoa wa Pwani wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya uandikishaji na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, hali inayohofiwa kwamba baadhi ya watu huenda wasifikiwe kutokana na mwamko mkubwa ulioonekana. Idadi…

EACOP, CPP yatoa fursa kwa wajasiriamali Handeni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Handeni Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana na mkandarasi Mkuu wa ujenzi wa bomba hilo, kampuni ya China Petroleum Pipeline (CPP) umewataka wajasiriamali/wafanyabiashara katika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga…

Serikali yaandaa mkakati kuongeza uzalishaji wa ngano

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA), imeandaa mkakati wa miaka 10 wa kuongeza uzalishaji wa ngano. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa COPRA, Irene Mlola wakati akifungua kikao…

Chameleone kufanyiwa upasuaji wa kongosho Marekani

Na Isri Mohamed Mwanamuziki mkongwe nchini Uganda, Jose Chameleone anatarajiwa kufanyiwa upasuaji mkubwa wa kongosho katika Hospitali ya Allina Health Mercy huko Coon Rapids, Minnesota iliyopo nchini Marekani, ndani ya saa 12 zijazo. Gwiji huyo wa muziki aliyetamba zaidi kwa…

Rais Mwinyi azindua boti za kusafirisha wagonjwa

Msaidizi Mkurugenzi wa Benki ya Dunia Tanzania Melina Stefano akitoa salamu za Benki hio katika hafla ya Uzinduzi wa Boti za Kusafirisha Wagonjwa (Ambulance Boat)Verde Hotel Maruhubi Zanzibar.

Majaliwa: Tanzania kukuza na kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na EU

Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kukuza na kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji na nchi za Umoja wa Ulaya (EU). Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alisema hayo katika ofisi ndogo ya Waziri Mkuu ya Magogoni, Dar es Salaam jana alipozungumza na…