Category: MCHANGANYIKO
Mtoto aliyechinjwa na ‘housegirl’ aruhusiwa kutoka hospitali
Na Isri Mohamed Mtoto Malick Hashim (6) aliyekuwa amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili tangu julai 15, baada ya kuchinjwa na kitu chenye ncha kali shingoni na anayedaiwa kuwa ni dada wa kazi, ameruhusiwa kutoka hospitalini hap oleo Agosti 07,…
Bilioni tano kujenga Hospitali ya Rufaa Moro
Na WAF – Morogoro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameagiza kujengwa kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro kwa kuanza ujenzi wa jengo la Afya ya uzazi mama na mtoto ili kurahisha…
Kamanda TAKUKURU Ruvuma aipa tano TARURA
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea KAMANDA wa Takukuru Mkoa wa Ruvuma Hamza Mwenda amepongeza wakala wa bara bara Mjini na Vijijini (TARURA) mkoani humo kwa kufanikiwa kutekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu ya barabara katika kipindi cha mwaka fedha…
Rais Samia ataka Wizara ya Nishati kuongeza kasi usimamizi miradi
📌 *Lengo ni kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati 📌 Aeleza umeme unavyochagiza shughuli za kiuchumi 📌 Vijiji 621 Morogoro vyafikiwa na umeme kati ya Vijiji 669 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara…
Ngamia 300 wakamatwa mpakani mwa Tanzania na Kenya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Ngamia 300 wamekamatwa kwenye hifadhi ya msitu wa Mwakijembe uliopo mpakani mwa Tanzania na Kenya, wakichungwa kwa lengo la kupata malisho. Mifugo hiyo iliyokamatwa Julai 23, mwaka huu, katika msitu huo wamebaki watatu baada ya…