Category: MCHANGANYIKO
VETA yawaita wananchi kutembelea banda lao Nanenane
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetoa wito kwa wananchi kutembelea banda lao lililopo katika Viwanja vya maonesho ya Kilimo na Ufugaji (Nanenane) ili kuona fursa mbalimbali zinazopatikana katika mamlaka…
UDOM yawashauri wakulima, wafugaji kutumia mbinu na teknolojia kukuza sekta ya kilimo
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Rose Mdami ametoa wito kwa wakulima nchini kutumia mbinu na teknolojia mbalimbali za kilimo, mifugo na uvuvi walizozibuni kwa lengo la…
NIC: Wakulima jiungeni na Bima ya Kilimo
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MKURUGENZI wa Masoko na Mawasiliano wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Karimu Meshack ametoa wito kwa Wakulima nchini kujiunga na Bima ya Kilimo. Ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya…
Wasimulia wanavyonufaika na Kampeni ya Mama Samia Legal Aid Morogoro
Na Mwandishi Wetu, Morogoro WANANCHI wanaopata msaada wa kisheria za mama Samia Legal Aid zinazoendelea kutolewa kwenye maonyesho ya Nane nane mkoani Morogoro wameelezea namna walivyonufaika na huduma hizo. Wakizungumza mkoani hapa jana, wananchi hao walimpongeza Rais Samia Suluhu Hassan…
Wizara ya Nishati, Mtibwa wajadili ujenzi njia ya umeme
📌 Ni ya msongo wa kilovoti 132 📌 Ni kufuatia ombi la Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kiwanda cha Mtibwa 📌 Bilioni 28 kutekeleza miradi ya umeme Vijijini Mvomero Morogoro Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe amesema, Wizara ya…