Category: MCHANGANYIKO
Vijana wahimizwa kujiwekea akiba kwa manufaa ya sasa na baadae
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam VIJANA nchini wamehimizwa kutumia vizuri vipato wanavyopata kujiwekea akiba ili kumudu maisha yao ya sasa na baadaye. Wito huo umetolewa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Idara Kuu ya…
Tanzania, Ethiopia kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Shirikisho la Ethiopia zimesisitiza juu ya umuhimu wa kutumia fursa za ushirikiano zilizokubaliwa kati ya nchi hizo kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kwa maendeleo endelevu ya watu wake…
Watoto wawili wa familia moja wauawa kwa kushambuliwa na fisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Watoto wawili wa familia moja wanaoishi Kijiji cha Dugushuli, Kata ya Igaga, Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wamekufa huku sita wakijeruhiwa baada ya kushambuliwa na fisi. Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi alithibitisha kutokea…
Polisi Rufiji waonesha shehena ya nyanya za TANESCO, SGR iliyokamatwa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rujifi limewakamata Watu wawili ambapo mtu mmoja akiwa na asili ya Kiasia na mwingine akiwa ni Mtanzania kwa tuhuma za kukutwa na shehena ya nyaya za shaba mali zilizoibwa katika Miundombinu ya Umeme –…
Majaliwa atembelea kiwanda cha dawa za binadamu, Kigamboni
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha kutengeneza dawa za binadamu cha Cure Afya kilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Akizungumza baada ya kushuhudia uzalishaji wa dawa kwenye kiwanda hicho chenye thamani ya takribani shilingi bilioni 50, Waziri Mkuu amesema…
Ulega akagua miradi ya BRT, atoa maagizo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega amemuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Balozi, Mhandisi, Aisha Amour kuwasimamia kikamilifu wakandarasi wanaotekeleza ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam kwa kufanya…





