JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Mkunda apokea ujumbe wa Jeshi la China

Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ujumbe wa Makamanda walioongozana na meli ya matibabu kutoka Jeshi la Ukombozi la Watu wa China umemtembelea Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda ofisini kwake Upanga jijini Dar Es Salaam…

Chalamila apokea melivita ya matibabu ya Jeshi la Ukombozi la watu wa China, matibabu bure

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam -Atoa rai kwa wakazi wa Dar es Salaam na Watanzania kujitokeza kwa wingi kupatiwa matibabu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Julai 16,2024 amepokea Melivita ya matibabu iitwayo Peace…

ATCL yaanzisha kampeni ya afya yako mtaji wako

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI ya ndege ya (ATCL), imeanzisha kampeni ya miezi mitatu iliyopewa jina la Afya yangu maisha yangi kwa lengo la kuhamasisha wananchi kujali afya zao. Kampeni hiyo imetangazwa leo na itamazilika mwezi Oktoba…

Babati DC haijakurupuka bali imejipanga na miradi yenye Viwango -Mnzava

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Babati Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Godfrey Eliakimu Mnzava amesema Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara haijakurupuka bali imejipanga kwa kuwa na miradi yenye viwango. Hayo amezungumza Julai 16, Mwaka huu wakati…