Category: MCHANGANYIKO
Matukio 7,000 ya ukatili yameripotiwa Pwani -RMO Ukio
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Kusirye Ukio, amebainisha kuwa matukio takriban 7,000 ya ukatili yaliripotiwa ndani ya mwaka mmoja mkoani humo. Ukio alitoa taarifa hiyo wakati akizungumza kwenye kikao kilichowajumuisha viongozi wa mkoa, viongozi…
Bandari ya Dar es Salaam yavutia mataifa ya Ulaya, Asia na Afrika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Maboresho makubwa na uwekezaji unaoendelea kufanywa katika Bandari ya Dar es Salaam yamekuwa kivutio kwa mataifa mbalimbali ya Afrika na Ulaya kuja kuangalia na kushuhudia utendaji kazi wake na uwezekano wa kuanza kufanya…
Waziri Dkt. Gwajima: Msibweteke na elimu mliyoipata
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Dar es Salaam WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito kwa wahitimu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii kutokubweteka na kiwango cha elimu walichokipata bali…
Serikali yaiagiza WHI kuzingatia ubora kwenye miradi ya ujenzi unaoendana na thamani ya fedha
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Isdor Mpango ametoa maelekezo kwa Taasisi ya Watumishi Housing Investments(WHI) kuzingatia ubora na viwango stahiki wakati wa kujenga Nyumba za makazi ya Watumishi ili kuendana na thamani…
Rais Mwinyi azindua Rasimu ya Dira ya 2050
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema malengo makuu ya Rasimu ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ni kugusa moja kwa moja katika kuboresha maisha ya watu, elimu, afya, ustawi wa amani na…





