Category: MCHANGANYIKO
ATCL yaanzisha kampeni ya afya yako mtaji wako
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI ya ndege ya (ATCL), imeanzisha kampeni ya miezi mitatu iliyopewa jina la Afya yangu maisha yangi kwa lengo la kuhamasisha wananchi kujali afya zao. Kampeni hiyo imetangazwa leo na itamazilika mwezi Oktoba…
Babati DC haijakurupuka bali imejipanga na miradi yenye Viwango -Mnzava
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Babati Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Godfrey Eliakimu Mnzava amesema Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara haijakurupuka bali imejipanga kwa kuwa na miradi yenye viwango. Hayo amezungumza Julai 16, Mwaka huu wakati…
Pandu aiomba Serikali kuligawa Jimbo la Namtumbo ili kurahisisha upatikanaji huduma
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma Juma Pandu ameiomba Serikali kuona umuhimu wa kuligawa jimbo la Namtumbo ili wananchi waweze kupata huduma mbalimbali kwa urahisi tofauti na hivi sasa jimbo hilo lina…