Category: MCHANGANYIKO
Tanzania yaomba ushirikiano kukabili ukame
Serikali ya Tanzania imetoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kushirikiana kwa pamoja katika kulinda mifumo ikolojia ya dunia dhidi ya ukame ambao umeleta tishio kwa mazingira. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe….
Dk Biteko ataka watafiti, wabunifu ndani ya nchi watambuliwe kuleta maendeleo
📌 Azindua Kongamano la 9 Sayansi, Teknolojiana Ubunifu 📌 Asema Watafiti waendelezwe, wasivunjwe moyo 📌 Azindua Mfuko wa mikopo nafuu “SAMIA FUND” 📌 Norway Yaahidi kuendelea kufadhili utafiti wenye tija Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati…
Abdul Nondo : Nikizungumza kilichotokea nitauliwa
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Abdul Nondo amedai kuwa ametishiwa kuuawa endapo atasimulia kilichotokea baada ya kutekwa na wateaji “Ukitoka hapa nenda moja kwa moja nyumbani kwako. Tunapajua vizuri na usizungumze kokote juu ya kilichotokea, pia tusikuone…
Madiwani Kenya watembelea TARI Tengeru kujifunza kilimo
Madiwani kutoka kaunti ya Eligeyo-Marakwet nchini Kenya wametembelea Kituo cha Utafiti wa Kilimo cha TARI Tengeru kilichopo Arusha kwa lengo la kujifunza shughuli zinazofanywa kituoni hapo ili kuweza kushauri Serikali nchini kwao kutokana na uzoefu wa kazi zinazofanyika nchini Tanzania. …
Wananchi washauriwa kuchangamkia fursa ya uwepo wa kambi ya madaktari bingwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wapatao 32 wamewasili mkoani Njombe kwa kambi ya Siku tano (5) iliyoanza leo Desemba 2 hadi Desemba 6, 2024 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe. Akizungumza katika hafla…
Mkoa wa Pwani kuwakutanisha wawekezaji na wafanyabiashara Desemba 16 – 20
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani unatarajia kukutanisha wafanyabiashara, wawekezaji na wajasiriamali kwenye Maonyesho ya Biashara ya awamu ya nne yatakayofanyika Desemba 16 hadi 20, 2024, katika viwanja vya Mailmoja, Stendi ya zamani, Kibaha. Maonyesho hayo yatafunguliwa rasmi…





