JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mikataba minne ya bilioni 10.75/- yasainiwa kujenga miundombinu ya barabara Dar

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imesaini mikataba minne ya miundombinu ya barabara yenye thamani ya bilioni 10.75 zitakazojengwa kwa kiwango cha lami ujenzi wake utaanza muda wowote kuanzia sasa na kukamilika ndani…

Mitaji changamoto ya vijana kwenye kilimo – Waziri Bashe

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati Serikali inapanga mikakati ya kuwasadia vijana katika kilimo, imeonekana changamoto kubwa ya vijana kuingia kwenye kilimo ni mitaji. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Kilimo Hussein Bashe alipokuwa akizungumza na Waandishi wa…

PPRA yataja siri ya kupata tuzo ya mshindi wa kwanza katika kipengele cha mamlaka za udhibiti

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MENEJA Kanda ya Pwani kutoka Mamlaka ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA), Vicky Mollel amesema kuwa mamlaka hiyo ilitarajia ushindi kutokana na nguvu kubwa waliyoiweka katika kuhamasisha Umma. Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na…

UDOM yaibuka mshindi wa kwanza kipengele cha taasisi za elimu ya juu katika Sabasaba

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM), kimepata tuzo ya mshindi wa kwanza katika kipengele cha Taasisi za elimu ya juu katika maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (DITF) maarufu kama…

Katavi kuwa kanda ya ununuzi wa mazao

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Samia  Hassan ameutangaza mkoa wa Katavi kuwa kanda maalum ya ununuzi wa mazao na uhifadhi wa nafaka ya chakula. Ametoa kauli mara baada ya kuzindua vihenge vya kisasa, na ghala za kuhifadhia…