Category: MCHANGANYIKO
Mti uliong’olewa kwa upepo mkali wajisimika tena, hofu yatanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Hali ya taharuki imezuka katika kijiji cha Bukabuye, Wilaya ya Misenyi mkoani Kagera kufuatia mti uliong’oka kwa upepo mkali ndani ya miaka mwili iliyopita na matawi yake kutumika kama kuni, kukutwa umejisimika tena kwenye shimo…
Tanzania, Singapore kuimarisha uhusiano wake
📌 Tanzania na Singapore kuongeza kiwango cha ufanyaji biashara Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa uhusiano wa Tanzania na Singapore ni wa muda…
Mdomo umemponza Gachagua Kenya
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, ni wazi safari yake ya kupoteza wadhifa huo imeiva. Msomaji naamini umefuatilia kwa karibu sakata la kuondolewa madarakani kwa huyu Naibu wa Rais, ambaye bado anaamini mahakama…
Vijana wahimizwa kushiriki katika mipango ya matumizi bora ya ardhi
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Naibu Kamishna wa Ardhi kutoka Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wilson Luge amewataka vijana kuzingatia suala la ongezeko la idadi ya watu wakati wa kupanga matumizi bora ya ardhi. Kamishna Luge amesema…
Biteko afanya mazungumzo na mwakilishi wa heshima wa Tanzania Singapore
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Oktoba 21, 2024 akiwa nchini Singapore amekutana na kufanya mazungunzo na Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania nchini humo, Bw. Teo Siong Seng ambaye pia ni mwenyekiti mwenza wa…