Category: MCHANGANYIKO
Matumizi kuni, mkaa taasisi za umma mwisho Desemba 31, 2024 -Majaliwa
WAZIRI Mkuu wa Nchi, Kassim Majaliwa Majaliwa amezikumbusha taasisi na mashirika yote ya Serikali yaliyopo kote nchini Tanzania ambayo yanahudumia watu zaidi ya 100, kutekeleza bila shuruti agizo lake la kuitangaza Desemba 31, 2024 kuwa siku ya mwisho kwa matumizi…
Waziri Mavunde asimamisha uchimbaji madini kwenye mto Zila kijiji cha Ifumbo wilayani Chunya Mbeya
▪️Aelekeza shughuli za uchimbaji madini kusimama kipindi hichi cha Masika kama ilivyoelekezwa na NEMC ▪️ Timu ya Wataalam kufanya tathmini kwa kina na kutoa taarifa ya athari ya Mazingira ▪️Akemea wananchi kuharibu mali za mwekezaji ▪️Asisitiza Sheria na kanuni kufuatwa…
Waziri awashauri wananchi Jimbo la Jang’ombe kutunza miundombinu ya barabara
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria Utumishi na Utawala Bora Dk Haruon Ali Suleiman wananchi wa Jimbo la Jang’ombe kuitunza miundombinu ya barabara inayojengwa ili idumu kwa muda mrefu. “Miundombinu yetu hii tuitunze kwa maslahi ya Nchi yetu…
Mwalimu mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Paul Joseph (26), mwalimu wakujitolea katika Shule ya Msingi Nyang’omango iliyoko Kata ya Ntende Wilaya ya Misungwi mkoani hapa kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wake. Hayo yamebainishwa Desemba 30,…
Waziri Simbachawene atoa wito kwa Watanzania kujiandikisha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Na. Lusungu Helela – Mpwapwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, Mhe.George Simbachawene ametoa wito kwa Watanzania wenye sifa za kujiandikisha katika Uboreshaji wa Daftari la…





