JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kampeni ya ‘Tuwaambie Kabla Hawajaharibiwa’ yazinduliwa

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed leo amezindua kampeni ya ‘Tuwaambie Kabla Hawajaharibiwa” yenye lengo la kuwaelimisha jamii kuhusu maswala ya ukatili wa kijinsia pamoja na kutoa taarifa kuhusu vitendo vya uhalifu…

Mufti awataka wananchi wajitokeze kujiandikisha daftari la wapiga kura

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Alhaj Dkt Abubakar Zubeiry bin Ali amehimiza wananchi nchini kote kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili waweze kutimiza haki yao kikatiba ya kuwachagua viongozi…

Marekani yaridhishwa na mageuzi ya kiutendaji ya Serikali ya Rais Samia

Yaahidi kuendelea kutoa fedha kuisaidia Tanzania kutatua vikwazo vya ukuaji uchumi Shirika la Changamoto za Milenia (Millennium Challenge Corporation-MCC) la Serikali ya Marekani limeeleza kuridhishwa kwake na mageuzi ya mifumo ya kiutendaji, yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita katika maeneo mbalimbali…

Vijana wa kike waaswa juu ya uthubutu katika shughuli za ujenzi na uhandisi

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Vijana wa kike nchini wameaswa juu ya uthubutu katika shughuli za masuala ya ujenzi na uhandisi. Ushauri huo umetolewa hapo jana katika mkutano wa mkuu wa nane wa masuala ya ujenzi uliofanyika katika…

Tuondokane na matumizi ya nishati isiyo safi kulinda afya zetu – Mwanaidi

📌Asema majiko yanayotoa nishati safi ya kupikia ni salama 📌Ataja Wanawake kuathirika zaidi na matumizi ya nishati zisizo safi Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mwanaidi Khamis ametoa rai kwa jamii kuondokana na matumizi ya…

Kibaha yafikia asilimia 33 ukusanyaji wa mapato robo ya kwanza 2024/2025

Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Kibaha Halmashauri ya Mji wa Kibaha, mkoani Pwani, imeongeza mapato yake ya ndani kutoka asilimia 23 hadi asilimia 33 katika kipindi cha robo ya kwanza (Julai-30 Septemba) kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Aidha, halmashauri hiyo inaendelea…