Category: MCHANGANYIKO
Haiti : Marekani yataka kikosi cha Kenya kugeuzwa kuwa cha walinda amani wa UN
Nchi ya Marekani, sasa inataka polisi wa Kenya waliotumwa nchini Haiti kwenda kusaidia idara za usalama za nchi hiyo kukabiliana na makundi yenye silaha, kigeuzwe na kuwa kikosi kamili cha kulinda Amani cha umoja wa Mataifa. Pendekezo hili licha ya…
DED Mji Kibaha akutana na wamiliki na wafanyabiashara vituo vya mafuta
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha ,Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufanyabiashara kihalali na kulipa Kodi ya Serikali kwa wakati. “Nawasihi sana,nipeni ushirikiano ili sote tukishirikiana…
Tanzania yashika nafasi ya tatu uzalishaji madini ya Kinywe ‘Graphite’ Afrika
Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam Tanzania Miongoni mwa Nchi kinara kwa uzalishaji Madini ya Kinywe(Graphite) Afrika inashika nafasi ya 3 ambapo huzalisha kwa asilimia 0.64 kwa mahitaji yote Duniani nafasi ya pili ikifutiwa na Msumbiji 10% huku nafasi ya kwanza…
Dk Biteko ainadi CCM Mara
📌 Asema CCM Inaweza Kazi, Ipewe Kura 📌Rais Samia Ang’ara Miradi ya Maendeleo 📌 Wabunge Waeleza Mafanikio ya CCM Mara 📌 Wananyamongo Waahidi Ushindi CCM Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha…
Waliopoteza maisha ajali ya kuporomoka jengo Kariakoo yafika 20
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na ajali ya kuporomoka kwa jengo eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam imefika 20. Hayo yamesemwa leo Novemba 20, 2024 na Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea eneo…
DC Mgomi: Tumieni mikopo kwa matumizi lengwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe MKUU wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi, ametoa rai kwa vikundi vya maendeleo vilivyonufaika na mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri kuitumia mikopo hiyo kwa matumizi lengwa sambamba na kukumbuka kuirudisha ili kutoa nafasi…





