JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Katibu Gavu: Vijana jitokezeni kugombea nafasi za uongozi

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Vijana wameshauriwa kuanzia mwaka huu 2024 waache kulalamika kuwa hawapewi nafasi za uongozi hivyo wajitokeze kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali ili wapate kushika hatamu kuongoza nchi yao ikiwemo ubunge, udiwani, unyekiti wa Serikali…

Sakata la sukari bado gumzo bodi yatoa ufafanuzi namna vibali vilivyotolewa

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Sukari Tanzania, Prof. Kenneth Bengesi, amesema wanaendeleza mchakato wa majadiliano na wadau wa sekta hiyo nchini lengo ni kuhakikisha maslahi ya umma na wadau yanalindwa. Amefafanua hayo Mwishoji…

Vyama vya ushirika vyatakiwa kuboresha huduma kwa wanaushirika

๐Ÿ“Œ Dkt. Biteko azitaka Kampuni za ushirika kurejesha rasirilimali kwa jamii ๐Ÿ“Œ Maafisa ushirika watakiwa kutengeneza Sura ya Ushirika ๐Ÿ“Œ Benki ya Ushirika wa mazao kuanzishwa ๐Ÿ“ŒWatanzania wanahimizwa kujisajili kwenye Bima ya mazao ๐Ÿ“Œ Serikali imetoa bilioni 13 ruzuku kwa…

Prof. Mkumbo: Wananchi wanataka suala la afya lipewe kipaumbele

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema baadhi ya wananchi waliohojiwa na tume inayotayarisha Dira ya Taifa 2050 wametaka suala la kuboresha huduma za afya liwe kipaumbele….

Waziri Ummy: Sekta ya Afya izingatiwe katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema sekta ya afya ni amesema Sekta hiyo ni nyeti na kwa unyeti wake lazima kuzingatiwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Ameyasema hayo leo Julai 06,…

Waziri Kijaji ahimiza watendaji ofisi hiyo kuchapa kazi kwa bidii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amehimiza watendaji wa Ofisi hiyo kuendelea kuchapa kazi kwa bidii ili kufikia malengo yaliyowekwa katika hifadhi endelevu ya…