JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

‘Maslahi ya waandishi yameboreshwa’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Fatma Hamad Rajab amesema Serikali imeboresha mazingira ya Waandishi wa Habari ili kuongeza ufanisi katika kazi. Ameyasema hayo wakati wa kipindi cha Asubihi Njema, kinachoendesha…

Serikali yakusanya bilioni 325.3 tangu DPW waanze kazi bandari ya Dar es Salaam

Na Dotto Mwaibale, Dar es Salaam SERIKALI imeshakusanya umla ya Sh.Bilioni 325.3 katika kipindi cha miezi mitano (Aprili hadi Septemba 2024) tangu DPW Dar es Salaam waanze kuendesha Gati 0-7 katika Bandari ya Dar es Salaam. Hayo yamesemwa na Katibu…

Tanzania, Saudi Arabia kuimarisha ushirikiano sekta ya nishati

๐Ÿ“Œ Waziri Kapinga afanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Nishati Saudi Arabia ๐Ÿ“Œ Wajadili ushirikiano katika Mafuta, Gesi Asilia, Nishati Jadidifu na Nishati Safi ya Kupikia ๐Ÿ“Œ Saudi Arabia yaeleza kutambua juhudi za Tanzania kuimarisha Sekta ya Nishati ๐Ÿ“SAUDI ARABIA…

Wawekezaji wakaribishwa Kagera

๐Ÿ“ŒDkt. Biteko asisitiza teknolojia itumike uchakataji zao la ndizi ๐Ÿ“ŒDkt. Biteko ahimiza uwekezaji viwanda vya kuongeza thamani mazao ya uvuvi na ufugaji ๐Ÿ“ŒKagera yaongoza kwa uzalishaji zao la ndizi nchini kwa asilimia 60 ๐Ÿ“ŒMradi wa Mashamba Makubwa ya Kahawa Kagera…

Ujenzi mradi wa kufua umeme wa bwawa la Julius Nyerere mbioni kukamilika

๐Ÿ“Œ MD Nyamo-Hanga na Viongozi wengine (TANESCO) wakagua Maendeleo ya ujenzi wa Mradi huo na kuahidi kuendelea kuusimamia hadi ukamilike ๐Ÿ“ŒMegawati 1175 kutoka kwenye mashine tano zilizokwishakamilika zinazalishwa na tayari zimeungwa kwenye Gridi ya Taifa ๐Ÿ“Œ Utekelezaji wake kwa Ujumla…