JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Polisi yawashikilia Diva, Niffer kwa tuhuma za kuchangisha fedha kwa waathirika wa Kariakoo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Polisi linawashikilia kwa mahojiano ya kina Diva Malinzi (36) na Jennifer Jovin (25) maarufu kama Niffer kwa tuhuma za kuchangisha fedha kwa ajili ya walioporomokewa na jengo Kariakoo. Novemba 26, 2024…

Tanzania, Uturuki kushirikiana sekta ya Maliasili na Utalii

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Uturuki zimekubaliana kushirikiana kukuza Sekta ya Maliasili na Utalii lengo ikiwa ni kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea nchi hizo mbili. Hayo yamebainika leo Novemba 19,2024…

Mkutano wa COP29 waleta neema Tanzania

Mkutano wa 29 wa nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP-29) umeendelea kuiletea manufaa Tanzania hususan katika hifadhi ya mazingira. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira…

Waziri Bashungwa aiagiza TANROADS kufunga mizani mitatu Tunduma, ashuhudia foleni ya malori

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Songwe 📌 Ashuhudia foleni kubwa ya Malori Tunduma 📌 Atoa mwezi mmoja ujenzi wa kituo cha maegesho Chimbuya kukamilishwa 📌 Aagiza upembuzi kufanyika ili kujenga barabara ya Mchepuo, magari yanapita kwa kupokezana Waziri wa Ujenzi, Innocent…

Mtendaji wa kijiji jela miaka 20 kwa kosa la uhujumu uchumi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Mahakama ya Wilaya ya Songwe imemhukumu Bw. Assan Jacob Kalinga aliyekuwa Mtendaji wa Kijiji cha Mbuyuni H/W ya Songwe, adhabu ya kwenda Jela miaka Ishirini (20). Adhabu hiyo imetolewa kwa Kosa la ufujaji na ubadhirifu…

CCM yasambaza viongozi na makada waandamizi nchi nzima

Ni uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Katibu Mkuu Balozi Nchimbi kuongoza kampeni hizo Yaonesha umuhimu wa uchaguzi na dhamira ya kufikia wananchi moja kwa moja Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John…