Category: MCHANGANYIKO
Polisi wa fafanuzi Taarifa inayosambaa kuhusiana risiti za vifo
Na Abel Paul, Jeshi la Polisi,Arusha Jeshi la Polisi Mkoa Arusha limesema kuwa katika baadhi ya vyombo vya habari kumekuwa na taarifa inayosambaa ikisema kwenye nyumba ambayo ulikutwa mwili wa mtoto Mariam Juma aliyeuawa tarehe 12.10.2024 huko kwa Mrombo kumekutwa…
Halmashauri Misenyi Kagera yatoa mil.1/- ya matibabu ya mtoto mwenye uvimbe
Na Egbart Rwegasira, JamhuriMedia, Misenyi Halmashauri ya Wilaya Misseny mkoani Kagera Kupitia kwa mkurugenzi mtendaji wa Wilaya hiyo John Paul Wanga imetoa kiasi cha shilingi milioni moja ili kusaidia Matibabu ya Betson Mjuni Bernard (03). Mtoto huyo Mwenye umri wa…
JKCI yaanza kutibu wagonjwa wa moyo Arusha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha TAASISI ya Moyo ya (JKCI), imeanza kambi ya siku nne ya kupima na kutibu maradhi ya moyo kuanzia kesho kwa wakazi wa Mkoa wa Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI,…
Uganda yavutiwa maendeleo ya mradi wa EACOP hapa Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Kanali (mstaafu) Fred Mwesigye amevutiwa na utekelezaji wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) ,akisema kukamilika kwa mradi huo utakuza uchumi wa mataifa hayo mawili…
Rais Samia akizungumza na viongozi pamoja na wananchi wa Sengerema
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mama Mzazi wa Mama Janeth Magufuli (Juliana Stephano Kidaso) katika eneo la Kigongo Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza tarehe 13 Oktoba, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano…