Category: MCHANGANYIKO
Viongozi wa dini waaswa kuepuka migogoro
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Viongozi wa madhehebu ya dini wanaoteuliwa na kupatiwa dhamana ya kuongoza jamii wametakiwa kujiepusha na migogoro kutokana na madaraka yao,badala yake waisaidie serikali katika kuilinda amani na utulivu kama walivyoitwa kwenye nafasi zao. Kaimu msajili…
Safari za treni za kisasa SGR zaongezwa
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeongeza safari za treni ya reli ya kisasa (SGR) kati ya Dar es Salaam na Morogoro ambapo kuanzia Julai 5, abiria wataanza kutumia treni ya haraka (express train) isiyosimama vituo vya kati. Taarifa iliyotolewa na…
Waziri Silaa kuunda timu ya wataalamu wa ardhi kufanya uhakiki wa mipaka, historia Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani WAZIRI wa ardhi, Jerry Silaa amewahakikishia wakazi wa Mbala,Pingo -Chamakweza Chalinze mkoani Pwani kuwa atapeleka timu ya watalaamu wa ardhi ili kufanya uhakiki wa mipaka katika mgogoro uliodumu kwa miaka 25 ambao bado haujapata suluhu. Aidha…
Rais Nyusi kufungua maonesho ya Sabasaba kesho
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi atatoa hotuba ya ufunguzi wa maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu Sabasaba kwa kutumia…