JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

CTI bado yalia na utitiri wa tozo kwenye mikoani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Dalaam SHIRIKISHO la Wenye Viwanda (CTI), limeseme kuwepo kwa utitiri wa tozo katika kila mkoa na halmashauri kumekuwa kikwazo katika ustawi wa biashara na uwekezaji nchini. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na…

Doyo arejesha fomu ya kugombea uenyekiti wa Chama cha ADC kwa kishindo

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Uchaguzi ya Chama Cha Alliance For Democract Change (ADC) imepokea fomu za wagombea wa nafasi ya Uenyekiti Taifa na Makamu wake ili kujiandaa na mchakato wa uchaguzi ambao unatarajia kufanyika Juni…

Dk Mpango : Watumishi wa umma wanapaswa kumuenzi marehemu Tixon Nzunda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema watumishi wa Umma wanapaswa kumuenzi aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro marehemu Tixon Nzunda kwa kuwa waadilifu, wazalendo na kumtanguliza…

THRDC, LHRC yalaani mauaji ya mtoto Asimwe

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) pamoja na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamelitaka Jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina juu ya tukio la utekwaji na…

Justin Nyari ampongeza RC Sendiga kutembelea kituo cha watoto yatima Mirerani

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Mwenyekiti wa chama cha wachimbaji madini Mkoa wa Manyara, (Marema) Justin Nyari amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga kwa kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kwa kutembelea kituo cha watoto wenye mahitaji maalumu…

Rais Samia : Vyombo vya habari si mshindani wa Serikali

Rais Samia amevitaka vyombo vya habari kuhamasisha kupokea ujuzi mpya, taarifa zamaendeleo ya kiteknolojia katika sekta za uzalishaji na maendeleo ya jamii, vifichue maovu na kutowajibika kunakofanywa naWatumishi na Watendaji wa Serikali, vinatoa mrejesho wa hisia na mtazamo wa wananchi…