Category: MCHANGANYIKO
Wakulima wajipatia bilioni 347 kutoka NAFRA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakulima wa Tanzania wanaozalisha mazao ya chakula na kuyauza kwa Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula Nchini (NFRA) wamelipwa bilioni 347 katika miezi minane iliyopita — kuanzia mwezi Julai 2024 hadi mwezi…
TPA yatwaa tuzo ya ‘ e-GA’ kwa matumizi bora ya Tehama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMesia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeibuka mshindi wa tatu katika kundi la taasisi za Umma zinazozingatia na kufuata miongozo na kanuni za Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-Ga) katika uendeshaji na usimamizi…
Deloitte yaongeza nguvu Tuzo za TEHAMA 2025
WIZARA ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kwa kushirikiana na SoftVentures, Tume ya TEHAMA (ICTC) na Chama cha Watoa Huduma za Intaneti Tanzania (TISPA), inatangaza kuingia ushirikiano wa kimkakati na Deloitte kwa ajili ya Tuzo za TEHAMA 2025, pamoja na…
Chongolo apongeza PPP kwa kuibua miradi nchini
MKUU wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo, amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta za Umma na Sekta Binafsi (PPP) Davidi Kafulila, kwa kuendeleza zoezi la kuibua miradi katika maeneo mbalimbali nchini. Chongolo ametoa pongezi hizo ofisini…





