JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

HAIPPA PLC yapania kukuza uchumi nchini, yawapongeza wakulima kwa ununuzi wa hisa

Na Helena Magabe,JamuhuriMedia, Musoma Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umma (HAIPPA PLC), Boniphance Ndengo amewaeleza waandishi wa habari kuwa amegundua wakulima ni wanunuaji wazuri wa hisa kupitia kampuni ya Umma ya HAIPPA PLC ambayo makao yake makuu ni Musoma Mjini…

Serikali kuboresha ufaulu sayansi, hisabati na TEHAMA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza kuwa inachukua hatua madhubuti kuboresha ufaulu wa masomo ya Sayansi, Hisabati, na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) nchini. Wizara ilisema kuwa walimu wa masomo hayo wanapatiwa mafunzo…

Rais Samia aja na mpago mahsusi wa kitaifa kuhusu nishati

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Mpango Mahsusi wa Kitaifa kuhusu Nishati (National Energy Compact) uliozinduliwa leo unalenga kuiwezeseha Tanzania kuunganisha umeme kwa kaya milioni 8.3 zaidi ifikapo mwaka 2030. Taarifa iliyotolewa…

PPAA mguu sawa kurasimisha matumizi ya moduli Kanda ya Ziwa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA), imewasihi wadau wa Ununuzi wa Umma Mikoa ya Kanda ya Ziwa kushiriki mafunzo ya matumizi ya moduli ya kuwasilisha na kushughulikia rufaa na malalamiko kwa njia ya kielektroniki katika…

Yaliyojiri leo Januari 28, 2025 wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika

Aliyosema Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko Mara nyingi husemwa kuwa mustakabali wa dunia ni wa Afrika. Kauli hii inahusishwa na idadi kubwa ya vijana Barani Afrika pamoja na utajiri wa rasilimali zake. Hata hivyo, naamini…

Hotuba ya Rais Samia katika Mkutano wa Nishati wa Afrika – Misheni ya 300

………………………… OPENING ADDRESS BY HER EXCELLENCY DR. SAMIA SULUHU HASSAN, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DURING THE AFRICA HEADS OF STATE ENERGY SUMMIT, DAR ES SALAAM, 28TH JANUARY, 2025 (ENGLISH AND KISWAHILI) On behalf of the peoples and…