Category: MCHANGANYIKO
Kongole EWURA utekelezaji mkakati wa nishati safi kwa vitendo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imepongezwa kwa kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia kwa vitendo kwa kuweka mfumo wa huduma hiyo katika shule ya Sekondari Morogoro na Kituo cha…
Baraza la Mawaziri kujiendesha kidijitali
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa matumizi ya mfumo wa kielektroniki wa Baraza la Mawaziri utasaidia kuboresha utendaji kazi na kuleta ufanisi zaidi katika kuwahudumia wananchi. Amesema kuwa maboresho hayo ya matumizi ya mfumo wa kielektroniki…
Wadau wa maendeleo Tanga wakutana kujadili mustakabali wa maendeleo ya Sekta ya Maji
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Waziri wa Maji Jumaa Aweso na Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa wamefanya kikao kazi cha kimkakati na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi na Wabunge wa Mkoa wa Tanga kwa lengo la kujadili mustakabali wa sekta…
TAKUKURU Mtwara waokoa mil 31/- za viuatilifu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mtwara imefanikiwa kuokoa zaidi ya Sh milioni 31 fedha za viuatilifu katika msimu wa kilimo mwaka 2024/2025. Akizungumza jana mkoani Mtwara, Naibu Mkuu wa Takukuru Mkoa…





