JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wanafunzi, walimu wanusurika kifo baada ya jengo la darasa kuanguka Same

Na Ashrack Miraji,JamhuriMedia, Same Wanafunzi 30 pamoja na mwalimu mmoja wa Shule ya Sekondari Tumaini Jema, iliyopo wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kifo baada ya jengo moja la darasa walilokuwa wakisomea kuanguka kutokana na upepo mkali. Wanafunzi hao pamoja na…

Wasira azungumza na Sumaye

Makamu Mwenyekiti  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Bara, Stephen Wasira  akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mstaafu, Frederick Tluway Sumaye, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam, baada…

Waziri Gwajima : Bado kunahitajika msukumo mkubwa kutoa elimu ya unyanyasaji Arusha, Manyara

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Maendeleo ya Jamii , Jinsia ,Wanawake na Makundi Maalumu Dk Dorothy Gwajima amesema bado kunahitajika msukumo mkubwa wa kutoa elimu kwa jamii katika mikoa ya Arusha na Manyara,ambayo bado kiwango cha unyanyasaji ni…

DBS yapanga kupunguza ajira 4,000 kwa miaka mitatu kutokana na AI

Benki kubwa ya Singapore, DBS, imetangaza mpango wa kupunguza ajira 4,000 ndani ya kipindi cha miaka mitatu ijayo, hatua inayotokana na kuongezeka kwa matumizi ya teknolojia ya akili mnemba (AI) katika shughuli zake. Kupunguzwa kwa ajira kutafanyika kupitia njia za…

Msaada wa kisheria wa Mama Samia wawafikia wanafunzi Chalinze

Na Mwamvua Mwinyi, JammhuriMedia, Chalinze Baadhi ya wanafunzi kutoka jimbo la Chalinze, mkoani Pwani, wamejitokeza katika kampeni ya msaada wa kisheria ya MAMA SAMIA, kutoa changamoto zinazowakabili katika malezi na matunzo ili kupata ushauri wa kisheria na ufumbuzi. Vilevile, baadhi…

Serikali imeimarisha ushiriki wa wanawake katika uongozi na shughuli za kiuchumi – Kapinga

📌 Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani atoa wito wa kushikamana Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema kuwa Serikali imeboresha mazingira ya wanawake nchini ili waweze kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kiuchumi, maendeleo ya Tanzania na kushika nafasi za uongozi. Mhe….