JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Hospitali ya Benjamin Mkapa yapiga hatua kwenye huduma za kibingwa, ubingwa wa juu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMediaDodoma Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH)imesema kwa kutumia falsafa ya 4Rs (Reforms, Rebuilding, Reconciliation na Resilience,), imepanua huduma za kibingwa kutoka 14 hadi 20 na huduma za ubingwa wa juu kutoka 7 hadi 16. Hayo yameelezwa leo Machi…

Kampeni ya msaada wa kisheria yapigilia msumali sheria na utatuzi wa migogoro ya ardhi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Ofisa Ardhi Halmashauri ya Chalinze mkoani Pwani, Baltazar Mitti, ameeleza kuwa kero nyingi za migogoro ya ardhi zinatokana na wananchi kutokuwa na uelewa wa kisheria, hali inayosababisha kutapeliwa au kudhulumiwa. Akitoa elimu kuhusu Sheria ya…

Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, Wizara ya Nishati yajivunia kulinda haki, usawa

📌 Wizara ya Nishati yajivunia jitihada katika kulinda haki, usawa na kuwawezesha wanawake 📌 Kapinga asema lengo ni kuboresha ustawi wa mwanamke na kuongeza thamani yake. Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2025, yenye kaulimbiu “Wanawake…

‘Toeni maelezo sahihi kupata msaada wa kisheria’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sagini amewashauri wananchi wenye changamoto mbalimbali za kisheria kutoa maelezo sahihi ili kuwasaidia watoa huduma za msaada wa kisheria kupitia kampeni ya Mama Samia Legal Aid kutatua changamoto…