JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Dkt Samia : Nimeridhishwa na maendeleo Mradi wa Umwagiliaji Mkomazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ameridhishwa na maendeleo ya mradi wa Umwagiliaji Mkomazi unaofekelezwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) mkoani Tanga. Amesema, mradi huo umezungumzwa kwa miaka zaidi ya 50 sasa Serikali…

TPA yatoa ripoti ya mafanikio ya bandari tangu kuingia kwa Serikali ya Awamu ya Sita madarakani

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema tangu Serikali ya awamu ya Sita iingie madarakani,mapato ya mamlaka hiyo yameongezeka kutoka shilingi trilion 1.1 Mwaka wa Fedha 2021/22 hadi shilingi trilion 1.475 Mwaka wa Fedha 2023/24….

Waziri wa New Zealand ajiuzulu

Waziri wa biashara wa New Zealand Andrew Bayly amejiuzulu kama waziri wa serikali baada ya ‘kuigusa’ sehemu ya juu ya mkono wa mfanyakazi wake wiki iliyopita, katika kile alichoelezea kama tabia ya ‘kupindukia’. Bayly alisema siku ya Jumatatu kwamba “anasikitika…

Shule binafsi za awali, msingi 101 zanufaika na mradi wa Opportunity International

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Dar Ofisa Elimu Taaluma wa Mkoa wa Dar es Salaam, Eva Mosha, ametoa rai kwa wamiliki na walimu wa shule binafsi za awali na msingi kuimarisha ufanisi wa ufundishaji na kuboresha ubora wa elimu, ili kuinua…