JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Naibu Katibu Muu Wizara ya Fedha ateta na Rais wa IIA -Tanzania

Na Josephine Majura, WF, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, kwa niaba ya Katibu Mkuu, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Taasisi ya Wakaguzi wa Ndani Tanzania (IIA), Dkt….

Songea waiomba Serikali kuboresha bustani ya wanyamapori Ruhila Zoo

Na Mwandishi Wetu, JamuriMedia, Songea WANANCHI wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma, wameishauri Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kuboresha Bustani ya wanyamapori Ruhila Zoo ili kushawishi na kuvutia watu wengi zaidi kwenda kutembelea bustani hiyo ya wanyama. Walisema,…

Mbaroni kwa wizi wa mtoto wa miezi miwili

Na Mwandish Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Anna Mwakilima (24), mkazi wa Mbuyuni, Wilaya ya Mbarali kwa tuhuma za wizi wa mtoto mwenye umri wa miezi miwili na nusu (jina la mtoto tunalihifadhi). Kamanda wa…

Radi yaua watano wa familia moja Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Watu watano wa familia moja katika kitongoji cha Nkangi, wilayani Chunya, mkoani Mbeya wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi kwenye kambi ya kuchunga ng’ombe wakiwa wamelala, huku wengine watano wakijeruhiwa. Kamanda wa Polisi Mkoa…

Madereva wazembe 16,324 wakamatwa, 14 wafungiwa leseni kipindi cha sikukuu

Na Mwandishi Wetu Kikosi cha Usalama Barabarani kimewakamata madereva 16,324 kwa makosa mbalimbali ya usalama barabarani na kuwafungia leseni madereva 14 katika kipindi cha Sikukuu ya Krismasi. Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, William Mkonda pia aliwaelekeza wakuu wa usalama…

Wasanii waendelea kumiminika JKCI ofa ya Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wasanii wameendelea kuchangamkia fursa ya kupima moyo bure katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza  wakati wa uchunguzi wa moyo kwa wasanii hao jana, Mkurugenzi…