JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kimbunga Hidaya chaua Lindi, wengine 80 waokolewa

Na Isri MohamedWatu wawili wameripotiwa kufariki dunia na wengine zaidi ya 80 kuokolewa wilayani Kilwa mkoani Lindi baada ya mvua kubwa iliyosababishwa na Kimbunga Hidaya kunyesha Mei 4, 2024 na kusababisha mafuriko. Mbali na kusababisha vifo, pia yamesomba madaraja na…

NECTA yatangaza kuanza mitihani kidato cha sita Mei 6, ualimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la mitihani (NECTA) limetangaza kuanza kwa mitihani ya kidato cha sita na Ualimu huku wakitoa rai kwa kamati za mitihani kuhakiksha usalama wa vituo vya mitihani unaimarishwa na vituo vinatumika…

WHO IS HUSSAIN yatoa misaada ya milioni 28/- kambi ya waathirika wa mafuriko Chumbi, Rufiji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji MKUU wa wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowelle ametoa agizo kwa watu ambao bado wanaoishi kwenye maeneo yaliyozingirwa na maji ,mabondeni waondoke na kuhamia kwenye maeneo yaliyotengwa na Serikali kwa ajili ya usalama wao. Akipokea…

Madaktari bingwa 40 kutoa huduma hospitali zote za Halmashauri Ruvuma kwa siku tano

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea Huduma za mkoba za madaktari bingwa zinatarajia kuanza kutolewa katika hospitali za Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma kuanzia Mei 6 hadi 10 mwaka huu. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dk Louis Chomboko amesema…

Mradi wa maji Kimanzichana Mkuranga kunufaisha wakazi zaidi ya 20,000

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mkuranga Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Godfrey Mzava, Mei 4 Mwaka 2024 ,ameweka jiwe la msingi mradi wa maji Kimanzichana, wilayani Mkuranga, uliogharimu sh.bilioni 5.2 ambao utanufaisha zaidi ya watu 20,000 na kusimamiwa na…

Kimbunga Hidaya chapoteza nguvu wakati kikingia Bahari ya Hindi

Aidha, mawingu ya mvua yaliyokuwa yakiambatana na kimbunga hicho yamesambaa katika maeneo ya kusini mwa nchi hususan katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na maeneo jirani na kuweza kusababisha vipindi vya mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo. Kwa mafano hadi…