Category: MCHANGANYIKO
Dk Mwinyi : Tumevuka lengo la ilani katika barabara
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 imeelekeza kujenga kilomita 200 za barabara hadi sasa Serikali imejenga kilomita 800 kwa kuvuka malengo ya ilani hiyo. Rais Dk.Mwinyi…
Wawekezaji wahamasishwa kuwekeza Tanga
Mkoa wa Tanga umebarikiwa kuwa na aina mbalimbali za madini Wafanya biashara waaswa kuzingatia Sheria za Madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Wito umetolewa kwa Wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika fursa zilizopo kwenye Sekta ya Madini…
Dk Dimwa ajivunia hazina ya wazee wa CCM
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema kitaendelea kutunza,kuthamini na kuenzi hazi na ya wazee waliohudumu kwa uadilifu mkubwa katika nafasi mbalimbali za utumishi ndani ya Chama na Serikalini kwa ujumla. Hayo ameyasema Naibu Katibu Mkuu…
Jeshi la Polisi lachunguza Vifa vya watu wawili watuhumiwa kusakwa
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linachunguza tukio la mauaji ya watu wawili, Japhari Mwinyimvua (40) mlinzi na Richard Nonyo (65) baba mzazi wa mtu anayedaiwa ni mganga wa kienyeji wa…