Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia kugharamia matibabu ya watoto 100 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi
Na WAF – Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan atagharimia matibabu ya upasuaji na utengamao kwa watoto 100 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi yatakayofanyika katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa…
Dk Gwajima afungua mkutano wa 21 wa MEWATA, asisitiza umuhimu kuongez kasi kujenga msingi ya afya ya watoto
Rais wa Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (MEWATA) Dkt. Zaituni Bokhary akizungumza jambo katika mkutano mkuu wa 21 wa chama hicho uliofanyika leo Aprili 21, 2024 katika Hotel ya New Afrika, Dar es Salaam.
Nchimbi awataka wana-CCM kuacha nongwa za uchaguzi Songea
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt.Emmanuel Nchimbi amewataka Wana CCM kuacha nongwa za uchaguzi bali washirikiane katika kukijenga chama na kuwaletea wananchi maendeleo. Hayo ameyasema jana kwenye kikao cha Halmashauri kuu ya…
Dk Nhimbi alakiwa kwa shangwe na mkutano mkubwa Ubaruku, Mbarali
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amepokelewa kwa shangwe na nderemo na wananchi wa Mbarali, wakiongozwa na vijana waendesha bodaboda, baada ya kuwasili na msafara wake katika Kata ya Ubaruku, Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya,…