JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara ya Ujenzi yaeleza mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Samia

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WIZARA ya Ujenzi imeandaa hafla ya kuelezea mafanikio ya Serikali ya awamu ya Sita kwa kipindi cha miaka mitatu katika sekta ya Ujenzi huku ikijinasibu kukamilisha miradi ya ujenzi kwa kiwango cha lami wenye jumla ya kilometa…

Dk Mpango afuturisha nakundi maalum Zanzibar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa futari kwa makundi maalum Zanzibar wakiwemo Wazee wa Kituo cha Wazee Sebleni na Watoto kutoka kituo cha kulea watoto yatima cha Mazizini Unguja Zanzibar. Akizungumza mara baada…

Serikali yataka wanafunzi wasio na michango kuendelea na masomo

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imewaelekeza walimu wa shule za msingi nchini kutowarudisha nyumbani wanafunzi ambao wazazi wao wameshindwa kuwalipia michango mbalimbali na badala yake waachwe kuendelea na masomo. Hayo yameelezwa leo Aprili 5,2024 Jijini…

LHRC yaainisha mambo yaliyochwa kwenye sheria ya uchaguzi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimebaini kuwepo kwa mambo saba waliyoyapendekeza yaondolewe kwenye Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani, Sheria ya Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi 2024…

GEF kupitia UNDP yatoa zaidi ya bilioni 4 .04/- kwa CSOs 44 nchini kutekeleza miradi ngazi ya jamii

Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Mazingira Duniani(GEF) kupitia Programu ya Ruzuku Ndogo inayotekelezwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limesaini makubaliano ya kutoa sh 4.04 bilioni kwa mashirika yasiyo ya kiserikali 44 nchini ili…