JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mavunde aanza kutimiza ahadi yake ya ujenzi wa viwanja vya michezo Dodoma

MBUNGE wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde ameanza ujenzi wa viwanja vya michezo ya mpira wa kikapu (basketball), mpira wa pete (netball) na mpira wa wavu (volleyball) katika eneo la shule ya Sekondari Kiwanja cha Ndege Jijini Dodoma. Ujenzi…

Tanzania yapokea ugeni kutoka China waonesha nia ya kuwekeza

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Tanzania imepokea ugeni wa jopo la wataalamu likiwa limeambatana na wawekezaji na viongozi wa Serikali kutoka Jimbo la Changzhou Nchi China ambao wameonesha nia ya kuwekeza kwa kujenga viwanda vya kuzalisha bidhaa mbalimbali ikiwemo power…

Rais Samia amuahidi ushirikiano rais mteule Senegal

RAIS Samia Suluhu Hassan amemuahidi ushirikiano wa karibu Rais mteule wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye katika kuimarisha uhusiano na tija kwa pande zote za jamhuri. Kupitia kurasa rasmi za mitandao ya kijamii za Rais Samia, ameandika, matarajio yake ni kuendelea…

Mtatiro awataka watumishi kuacha kufanya kazi kwa mazoea

Na Suzy Butondo,Jamhuri Media,Shinyanga Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro amewataka watumishi wote wa manispaa kuacha kufanya kazi kwa mazoe, badala yake watoke maofisini kwenda kusikiliza kero mbalimbali za wananchi na kuzitatua kwa wakati. Agizo hilo amelitoa leo wakati…

Wawili mbaroni kwa kutengeneza na kumiliki silaha Shinyanga

Na Suzy Butondo,JamhuriMedia,Shinyanga Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limekamata silaha tano pamoja na watuhumiwa wawili kwa kosa la kutengeneza na kumiliki silaha kinyume na sheria huku likikamata vitu mbalimbali ukiwemo mtambo wa kutengenezea siraha uitwao Vice,vikiwemo bhangi, vitanda, magodoro…

Majaliwa kuongoza mapokezi ndege mpya

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo anatarajiwa kuongoza mapokezi ya ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737-Max9 yenye uwezo wa kubeba abiria 181. Ndege hiyo itapokewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam…