Category: MCHANGANYIKO
Nchimbi: Uwepo Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar umeondoa siasa za chuki, uhasama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema uamuzi wa kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar (SUK) ulizingatia kutanguliza mbele usalama wa maisha ya watu kuliko maslahi…
RC Chalamila ndege mpya Boeing B 737 -9 kuwasili Machi 26
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametoa taarifa kwa umma, leo Machi 25, 2024 kupitia vyombo vya habari Ofisini kwake Ilala Boma Jijini Dar es Salaam. RC Chalamila amesema ndege…
Mwenyekiti Serikali ya Mtaa mstaafu Kilungule kizimbani kwa rushwa ya sh. 120,000
Katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imefunguliwa kesi ya Jinai Namba (Cc.6600) dhidi ya Bw. Benjamini Chales Chuma kwa mashtaka ya kuomba na kupokea rushwa kinyume na kifungu cha 15(1)(a) na 15(2), cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa…
Matinyi : Anga, barabara vyaimarishwa kuchochea uchumi
Na Lilian Lundo – Maelezo Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kuliimarisha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kuwekeza zaidi ikiwemo kununua ndege ili kulifanya limudu kutoa huduma na kuchochea ukuaji wa sekta zingine za kiuchumi. Mkurugenzi wa Idara ya…
ACT-Wazalendo yataka NEC ijiuzulu
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ijiuzulu yote kupisha kuundwa kwa Tume Mpya itakayopatikana kwa utaratibu wa ushindani. Aidha chama hicho kimetaka Mapendekezo yaliyoainishwa na Tume ya Haki…
Tanzania yatajwa kuwa ni miongoni mwa nchi 30 yenye maambukidhi ya TB
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Jamhuri Wakat leo ni siku ya Kifua Kikuu (TB) Duniani, Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi 30 zenye maambukizi makubwa ya ugonjwa ya ugonjwa huo. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Health Promotion Tanzania(HDT), Dk…