Category: MCHANGANYIKO
NMB, ZASCO zasaini makubaliano kuongeza thamani zao la kimkakati Z’ Bar
na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar BENKI ya NMB na Kampuni ya Mwani Zanzibar (ZASCO), zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU), ya ushirikiano, lengo kuu likiwa ni kuliongezea thamani zao la kimkakati la Mwani na kupanua wigo wa mchango wake katika kukuza…
Mloganzila kufanya upasuaji rekebishi wa macho kuanzia Jumatatu
Ndoto za Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utalii tiba nchini zinaendelea kutimia ambapo safari hii Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila imeandaa kambi ya siku tano ya upasuaji rekebishi wa macho. Kambi hiyo inatarajiwa kuanza Machi 11 hadi 15, katika…
RC Mtanda awapongeza askari wanawake Kanda Maalum
Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Mkuu wa Mkoa wa Mara Said Mtanda amewapongeza askari wanawake toka Kanda maalumu Tarime/Rorya kwa kuheshimisha Siku ya Wanawake. Akizungumza katika maadhimisho ambayo kimkoa yamefanyikia katika Kata ya Nyamswa wilayani Bunda amesema hawajawahi kushindwa kusherehesha….