JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TASWA yaungana na Watanzania kuomboleza kifo cha mzee Mwinyi

Na Mwandishi Wetu Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ally Hassan Mwinyi kilichotokea Februari 29,2024 jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa leo na Katibu…

ATCL yaeleza hitilafu iliyosababisha ndege kurudi baada ya kupaa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), Ladislaus Matindi amesema injini moja ya ndege ya kampuni hiyo iliyokuwa ikisafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Mbeya,ilipata hitilafu ya kupata joto na kusababisha moshi…

Dk Mpango kuongoza waombolezaji Dar

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango anatarajia kuongoza shughuli ya kuaga mwili wa Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, hayati Ali Hassan Mwinyi katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam leo. Akitoa ratiba ya mazishi ya kiongozi huyo, Msemaji wa…

Tohara yapunguza kasi ya maambukizi ya VVU Shinyanga

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Shinyanga Kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) mkoani Shinyanga imepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na juhudi kubwa zinazofanywa na Shirika la Tanzania Health Promotion Support (THPS) kupitia mradi wa Afya Hatua wa tohara kinga ya…

CCM yatoa pole kifo cha mzee Mwinyi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kusikitishwa na kifo cha Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi aliyefariki dunia jana Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu CCM, Dk Emmanuel Nchimbi imeeleza kuwa Mwinyi atakumbukwa kwa mageuzi makubwa ya kisiasa,…

Rais Samia apongezwa kuboresha huduma za afya ya jamii Shinyanga

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Shinyanga RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa kuboresha mazingira ya utoaji huduma za afya ya jamii na kutoa fursa kwa wadau na mashirika kutoa huduma katika mikoa mbalimbali. Pongezi…