Category: MCHANGANYIKO
MSD: Kuna haja kuwa na mifuko ya akiba ya kuhifadhia damu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bohari ya Dawa (MSD), imesema kuna haja ya kuwa na akiba ya mifuko ya kuhifadhia damu itakayodumu kwa kipindi cha kuanzia miezi mitano hadi tisa, kuepuka kuadimika kwa bidhaa hizo. Kauli hiyo ya…
Milima ya Udzungwa inavyogeuzwa bustani ya furaha, amani
Na Alex Kazenga, JamhuriMedia, Morogoro Hifadhi ya Taifa ya Safu za Milima ya Udzungwa ipo kwenye hatua za awali za ujenzi wa njia ndefu ya utalii ipitayo juu ya miti maarufu ‘canopy walk away’ itakayosababisha ongezeko la watalii wa ndani…
CCM Zanzibar yamkaribisha babu duni kurejea nyumbani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Mapinduzi CCM Zanzibar kimetoa wito kwa Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Juma Duni Haji, kurejea Chama cha Mapinduzi ili kuendelea kulinda heshima yake kwa kazi kubwa aliyoifanya ya kupigania Demokrasia Zanzibar na…
Nchi wanachama EAPP zakubaliana kuipa msukumo miradi ya umeme
📌 Dkt. Biteko asema suala la kuwapa nishati wananchi sio hiari 📌 Asisitiza miradi ya usafirishaji umeme EAPP kukamilika kwa wakati 📌 Vyanzo vipya vya umeme kuendelezwa kukidhi mahitaji Na Mwandishi Maalum Baraza la Mawaziri wanaohusika na mfumo wa pamoja…
Waziri Chana aongoza maelfu kuaga miili ya watu 11 waliofariki kwenye ajali lori Arusha
Waziri wa Katiba na Sheria Balozi Dkt. Pindi Chana ameongoza maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid wa Arusha kuaga na kutoa heshima ya mwisho kwa Miili ya marehemu waliofariki katika ajali mbaya iliyohusisha lori na magari madogo…