JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Jumuiya ya wazazi Shinyanga mjini yateuwa kamati za kutatua kero

Na Suzy Butondo JamhuriMedia, Shinyanga Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Shinyanga mjini imeteuwa kamati ndogo ndogo ambazo zitasaidia kufanya kazi za maendeleo na kuweza kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii ya Shinyanga mjini. Katibu wa Umoja wa wazazi wilaya ya…

JET yawanoa waandishi wa habari namna ya kupunguza migongano baina ya binadamu na wanyamapori

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bagamoyo Katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni, migongano baina ya binadamu na wanyamapori imekuwa ni tatizo kubwa na kumekuwa na ongezeko kubwa la uharibifu wa mali na kusababisha majeraha kutoka kwa wanyamnapori. Kwa kulitambua hilo,…

Mazungumzo ya Rais Samia, Papa yana tija

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hadithi ya maendeleo ya taifa letu haiwezi kukwepa kuzungumzia ushirikiano wa taasisi za dini, hususan Kanisa Katoliki. Tangu nchi ipate Uhuru mwaka 1964, Kanisa Katoliki limefanya mambo mengi katika kuchagiza maendeleo ya wananchi.Katika…

TMA yatoa mwelekeo mvua za masika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa msimu wa mvua za Masika 2024 kwa maeneo yanayopata mvua mara mbili kwa mwaka. Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 22, 2024…