Category: MCHANGANYIKO
Tunaondoka Mbulu DC tukiwa tumeridhika kabisa ya kwamba mmemtendea haki Dkt. Samia na hata sisi pia
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Mbulu Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Godfrey Eliakimu Mnzava ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu chini ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Abubakar Kuul na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Joseph Mandoo na Mbunge…
Semfuko awahimiza Watanzania kuchangamkia fursa ya ufugaji wa wanyamapori
Na Beatus Maganja, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko amewahimiza watanzania kuchangamkia fursa za ufugaji wa wanyamapori zinazopatikana katika Taasisi ya TAWA. Ameyasema…
‘Michakato ya miradi ya maendeleo iharakishwe’
Watendaji wa Halmashauri ya mji Nanyamba mkoani Mtwara wametakiwa kuharakisha michakato ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wakati pindi wanapopata fursa ya miradi hiyo ili kuleta matokeo chanya kwa wananchi. Akizungumza wakati wa kukagua mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Mtimbwilimbwi…
Viongozi wanne hatiani kwa ubadhirifu fedha za urasimishaji makazi
Mnamo tarehe 05/07/2024 imetolewa hukumu ya kesi ya Jinai namba CC.386 /2024 na Hakimu Mkazi Mwandamizi Gloria Nkwera, katika shauri lililoendeshwa na Mawakili Waandamizi wa Serikali – Veronica Chimwanda na Fatuma Waziri ambapo Ahmed Waziri Msika na wenzake watatu walitiwa…