JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kunenge awakumbusha waratibu TASAF kuwatoa wanufaika walioimarika na kuwaingiza wengine

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amewakumbusha Waratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kuhakikisha wanafanya ufuatiliaji kwa wanufaika wa mpango huo ili kuwatoa walioimarika na kutoa nafasi kwa wenye hali mbaya. Vilevile…

DKT. Mwinyi azindua ubalozi wa Tanzania Cuba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.  Dkt. Hussein Ali Mwinyi amezindua Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Havana nchini Cuba katika hafla maalum iliyofanyika jijini Havana tarehe 14 Septemba 2023. Akizungumza katika uzinduzi wa Ubalozi huo…

Waziri Mkuu azindua mpango mkakati wa AMREF

*Asisitiza mashirika yasiyo ya kiserikali yazingatie maadili WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezindua Mpango Mkakati wa miaka nane wa AMREF Tanzania na kuahidi kuwa Serikali itaendelea kufanya ufuatiliaji ili kuhakikisha afua zilizopo katika mpango huo zinatekelezwa kwa ufanisi na kuboresha huduma…

Korea Kusini yakaribishwa kuwekeza Tanzania

Na Na: Saidina Msangi, WF, Busan, Korea Kusini Tanzania imeikaribisha Jamhuri ya Korea ya Kusini kuwekeza katika sekta mbalimbali ikiwemo nishati na kilimo nchini Tanzania ili iweze kufikia lengo la kuwa na maendeleo endelevu. Wito huo umetolewa na Balozi wa…

TRA Pwani yazindua kampeni maalumu ya tuwajibike

  Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani katika kupambana na kudhibiti mianya ya ulipaji wa kodi imezindua kampeni maalumu yenye lengo la kutoa elimu kwa wafanyabiashara juu kutumia mashine za kielekroniki (EFD) pindi wanapouza bidhaa zao. Hayo yamebainishwa…