Category: MCHANGANYIKO
NMB yakabidhi misaada ya mil. 51/- kwa shule 9 za sekondari, msingi Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katika jitahada za kuunga mkono jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita kutatua changamoto kwenye Sekta ya Elimu, Benki ya NMB, imekabidhi misaada ya viti na meza zake 134, madawati 200 na mabati 400 kwa shule…
Rais Samia apongeza mchango wa NMB kwenye kilimo akifunga maonesho ya Nane Nane
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mbeya RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hasaan, ameipongeza Benki ya NMB kwa mchango uliotukuka kwenye Sekta ya Kilimo, Uvuvi, Ufugaji na Misitu, sambamba na kusapoti Program ya Kuandaa Vijana na Wanawake Kujenga…
Majaliwa aiagiza BoT kuzisimamia benki katika maboresho ya riba
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameiagiza Benki kuu ya Tanzania (BOT) kuzisimamia Taasisi za kifedha kwa upande wa mabenki kuboresha riba katika mikopo wanayoitoa. Akizungumza Leo,Agosti 3, 2023, katika banda la BoT mara baada ya …
Waziri Kijaji ataka wenye viwanda kuzalisha bidhaa zenye ubora
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amevitaka viwanda vyote nchini kutengeneza bidhaa zenye ubora kwa gharama nafuu ili ziweze kuingia katika soko Eneo huru la biashara Afrika (AfCFTA) Ameyasema hayo Agosti 3, 2023 alipotembea Kiwanda cha kuzalisha Maziwa…
Waziri Jafo aridhishwa uzingatiaji sheria ya mazingira bandari Mtwara
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),Dkt. Selemani Jafo ameonesha kuridhishwa na uzingatiaji wa Kanuni na Sheria ya Mazingira katika Bandari ya Mtwara. Hayo yalijiri wakati wa ziara ya kikazi ya Dkt. Jafo…