Category: MCHANGANYIKO
Mayele afunguka kurudi tena Yanga
Na Isri Mohamed Aliyewahi kuwa mshambuliaji wa Yanga SC, Fiston Mayele amesema kama itatokea akarudi kucheza kwenye Ligi Kuu ya Tanzania basi atarudi klabu ya Yanga kwani ndio nyumbani licha ya maneno maneno yaliyotokea hapo nyuma baada ya kuondoka kwake….
TAKUKURU yatoa uzoefu kimataifa
Na Aziza Nangwa Mkurugenzi mlMkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU),Crispin Chalamila ,ametoa uzoefu wa namna ambavyo mfumo wa sheria na kitaasisi nchini Tanzania unaowezesha mapambano dhidi ya rushwa kufanikiwa. Mkurugenzi huyo ameyasema hayo, wakati akiwasilisha mada…
JKCI yaendelea kuishangaza dunia kwa matibabu ya kibingwa ya moyo
ยท Yaadhimisha siku ya moyo duniani kwa kufanya upasuaji Zambia ยท Yaelekea Geita kufanya uchunguzi wa moyo bure maonyesho ya madini Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeendelea kushangaza mataifa mbalimbali kwa…
Waziri Ridhiwani aongoza kampeni ya kukabiliana na afya ya akili
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Watu Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete ameongoza ameongoza maadhimisho ya kampeni juu ya kukabiliana na changamoto ya afya ya akili. Shughuli za maadhimisho hayo…





