JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mabula ataka mpango wa matumizi ya ardhi mradi wa maji Butimba

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mwanza Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula ametoa wito kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kuweka mpango wa matumizi ya ardhi katika eneo la Mradi wa wa Chanzo na Kituo…

Ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua mkewe aliyemnyima ‘unyumba’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Katavi imehukumu Titus Malambwa (28), mkazi wa Kijiji cha Ntibili Mpimbwe Wilaya ya Mlele, Mkoa wa Katavi kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mke wake kwa makusudi wakati wakiwa…

TALGWU:Tozo za mara mbili kwa mfanyakazi ni mzigo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU), kimesema kuwa wafayakazi watulie kuhusiana na tozo za miamala ya benki kwani wamefikisha maombi serikalini kufanya mabadiliko ya sheria ya tozo ili kuepuka malipo ya mara mbili kwenye…

TPA yatekeleza agizo la Majaliwa

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imeikabidhi Kampuni ya Huduma za Meli nchini (MSCL) meli tatu zinazotoa huduma katika Ziwa Nyasa ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa lengo la kuziweka meli hizo katika usimamizi…

‘Waziri Nape sema neno bungeni Mabadiliko ya sheria ya Habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Wadau wa habari wanasubiri kwa hamu kubwa kuona Serikali ikitimiza ahadi yake ya kuwasilisha Mapendekezo ya Mabadiliko ya Sheria ya Habari bungeni ili kusaidia kupunguza changamoto wanazokabiliwa nazo sekta ya habari. Akifungua mkutano wa wadau wa…

Kaya zilizohesabiwa nchini zafikia asilimia 99.99

Kamisaa wa Sensa ya watu na Makazi Anne Makinda akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 06 Septemba 2022 Jijini Dodoma. Amesema kiwango cha kaya zikizohesabiwa nchi nzima limefikia asilimia 99.99 na limehitimishwa rasmi. Kwa upande wa Sensa ya Majengo,…