JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

THRDC, LHRC yalaani mauaji ya mtoto Asimwe

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) pamoja na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamelitaka Jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina juu ya tukio la utekwaji na…

Justin Nyari ampongeza RC Sendiga kutembelea kituo cha watoto yatima Mirerani

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Mwenyekiti wa chama cha wachimbaji madini Mkoa wa Manyara, (Marema) Justin Nyari amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga kwa kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kwa kutembelea kituo cha watoto wenye mahitaji maalumu…

Rais Samia : Vyombo vya habari si mshindani wa Serikali

Rais Samia amevitaka vyombo vya habari kuhamasisha kupokea ujuzi mpya, taarifa zamaendeleo ya kiteknolojia katika sekta za uzalishaji na maendeleo ya jamii, vifichue maovu na kutowajibika kunakofanywa naWatumishi na Watendaji wa Serikali, vinatoa mrejesho wa hisia na mtazamo wa wananchi…

Wahariri waguswa mradi wa bomba la mafuta

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar e Salaam WAHARIRI wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini wameshangazwa na kuvutiwa na faida lukuki ambazo jamii na wananchi wa mikoa minane ambao wamepitiwa na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)…

RUWASA Simanjiro kufikisha huduma ya maji hadi kwenye Makao Makuu ya Vijiji – Mhandisi Mushi

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini ( RUWASA) Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara Ina mpango mkubwa ni kuhakikisha inafikisha huduma ya Maji kwenye Makao Makuu ya Vijiji vyote Wilayani humo. Hayo yamebainishwa hivi karibuni…

Akiba benki yatoa elimu ya fedha kwa wadau mbalimbali

Na Magrethy Katengu, Jamuhuri Media Dar es Salaam Benki ya Akiba imesema itaendelea kuunga mkono serikali kwa kutoa elimu ya fedha huku ikiboresha huduma zake nchi nzima ili kusaidia kuwafikia wananchi wengi zaidi na kuchochea kukua kwa uchumi wa Taifa….