JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Pinda awafariji ndugu wa waliopoteza maisha kwa ajali ya mtumbwi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mlel Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi Mhe. Geophrey Pinda amewatembelea na kuwafariji wananchi wa kijiji cha Ukingwamizi katika kitongoji…

Mtuhumiwa wa Dawa za kulevya na Mauaji Arusha mbaroni

Na Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema mei 29, 2024 muda wa saa 08:22 mchana huko katika maeneo ya Elerai Jijini Arusha walifanikiwa kumkamata Peter Mwacha (18) dereva bajaji na mkazi wa Sombetini Jijini…

TANESCO Ruvuma yawatahadharisha wananchi kuwa makini na matapeli

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mbinga AFISA uhusiano wa huduma kwa wateja TANESCO Ruvuma, Allan Njiro, amewatahadharisha wananchi wa vitongoji vya Matemanga na Mkurusi vilivyopo katika kata ya Kigonsera Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga vijijini mkoani Ruvuma kuwa makini na watu…

Naibu Waziri Pinda ataka utunzaji hati miliki za ardhi kuepuka udanganyifu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mlele Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda amewataka wananchi wanaokabidhiwa hati Milki za ardhi kuhakikisha wanazitunza ili kuepuka udanganyifu unaoweza kufanyika kutoka watu wasio waaminifu. Pinda ametoa kauli hiyo Mei 29,…