Category: MCHANGANYIKO
Serikali yaahidi sheria rafiki kwa wawekezaji kufanikisha Dira 2050
Na Mwandishi wa OMH, Kibaha Serikali imeeleza dhamira yake ya kutengeneza sheria rafiki za uwekezaji zitakazoiwezesha kufikia uchumi wa kati wa juu kama ilivyobainishwa kwenye Dira 2050. Moja ya shabaha za Dira 2050 ni kuchochea ukuaji wa Pato la Taifa…
Mapessa Intertrade yapambania ujenzi viwanda vya uchenjuaji, kemikali Chunya
Si Lazima Uchimbe: Mapessa Yafungua Macho kwa Fursa Ndani ya Sekta ya Madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Chunya Kampuni ya Uuzaji wa Vifaa na Kemikali za Uchenjuaji Madini Chunya, MAPESSA Intertrade Ltd imeiomba Serikali kuendelea kuhamasisha wadau na Wawekezaji kuanzisha…
Tume ya Madini yajipanga upya kuiboresha sekta ya madini nchini
Na MwandishinWetu, JamhuriMedia, Tanga Tume ya Madini inaendelea na kikao kazi cha menejimenti jijini Tanga chenye lengo la kutathmini utekelezaji wa majukumu yake na kuweka mikakati mipya ya kuimarisha Sekta ya Madini nchini. Kikao hicho kinahusisha Makamishna wa Tume ya…
Dalili za uwepo wa gesi asilia zaonekana katika kitalu cha Lindi – Mtwara
๐ Utafiti wa kina unaendelea katika Kitalu cha LindiโMtwara ๐ Dkt. Mataragio akagua maendeleo ya mradi, aagiza ukamilike kwa wakati ๐ Akagua pia mradi wa kuongeza uzalishaji wa gesi katika kitalu cha Mnazi Bay ๐ RC Mtwara asema Gesi Asilia…
WFP: Watu milioni 14 wako hatarini kukumbwa na njaa
Shirika la mpango wa chakula duniani WFP limetahadharisha kuwa takriban watu milioni 14 wako hatarini kukumbwa na njaa kutokana na kupunguzwa kwa ufadhili. WFP imesema watu hao wanapatikana katika mataifa ya Afghanistan, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Haiti, Somalia, Sudan…
Dk Mpango : Mwalimu Nyerere ni kielelezo na alama isiyofutika
Mpango azima Mwenge na Kuzindua Kitabu chake Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya Makamu wa Rais Dk. Philipo Mpango amezima rasmi Mwenge wa Uhuru na Kuzindua Kitabu chake cha Historia ya Miaka 61 ya Mbio hizo yaliyofanyika mkoani hapa jana Oktoba…