JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Biteko awasilisha bungeni Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2025/ 2026

📌 Yagusa utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa asilimia 96.5 📌 Upatikanaji umeme wa uhakika. Nishati Safi ya Kupikia, Uendelezaji Gesi Asilia; Baadhi ya vipaumbele vya Bajeti 📌 JNHPP, Usambazaji Umeme Vijijini na Ufikishaji Gridi Kigoma; Baadhi ya mafanikio Bajeti…

Makamu wa Rais akizungumza na Balozi Nchimbi mara baada ya kuwasili nchini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Balozi. Dkt. Emmanuel Nchimbi mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini…

Afukuzwa msibani kwa kutelekeza mke na watoto sita kwa miaka 14

Na Manka Damian , JamhuriMedia, Mbeya KATIKA hali isiyokuwa ya Kawaida wananchi wa kata ya Itezi mtaa wa Gombe Kusini Mkoani Mbeya wamelazimika kumfukuza msibani mwanaume mmoja aitwaye ,Seleman Lukama baada ya kumtelekeza kwa miaka 14,mke wake Anna Anosyesye na…

Naibu Waziri Mkuu Dk Biteko ahimiza kanisa kuliombea Taifa

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali chini ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan inalojukumu la kuhakikisha uchaguzi Mkuu unafanyika kwa amani na haki. “Wito wangu kwa kanisa ni kuendelea kuliombea Taifa liendelee kuwa…

Majaliwa aisifu SAGCOT kwa kuwa chachu ya maendeleo ya kilimo nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameisifu taasisi inayojihusisha na mpango wa kukuza kilimo Ukanda wa Kusini mwa Tanzania ( SAGCOT) kwa kuwa mfano wa kuigwa katika maendeleo ya kilimo hapa nchini ambapo kupitia utendaji kazi mzuri…