JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Maafisa mipango wafundwa kutekeleza majukumu kwa weledi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi kwa Maafisa Mipangomiji wa mikoa ili kujipanga…

Mlipuko wa vyuma chakavu waua wawili na kujeruhi Bagamoyo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Watu wawili wamefariki dunia na mwingine kujeruhiwa vibaya, huku nyumba kadhaa zikiharibiwa, kufuatia mlipuko mkubwa uliotokea katika banda la kuchomelea vyuma chakavu lililopo Mtaa wa Magomeni, Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi wa…

Wakandarasi miradi ya umeme Tanga watakiwa kuongeza kasi ya huduma kwa wateja

šŸ“ŒVijiji vyote 763 sawa na asilimia 100 vimeshapata huduma ya umeme Tanga šŸ“ŒVitongoji 2,382 sawa na asilimia 52.6 vimeshapata huduma ya umeme šŸ“ŒShilingi bilioni 68.5 yawezesha utekelezaji miradi ya REA Tanga šŸ“Korogwe – Tanga Wakandarasi wote waliopewa zabuni ya kutekeleza…