Category: MCHANGANYIKO
Pwani yaweka mkakati kuacha tabasamu kwa wananchi ndani ya siku 100 za rais
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani umejipanga kuhakikisha wananchi wa mkoa huo wananufaika moja kwa moja na utekelezaji wa ahadi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndani ya siku 100, kwa lengo la kuacha tabasamu na kuboresha huduma…
Tanzania na Uturuki kuimarisha uwezeshaji wa vijana na wanawake
Na WMJJWM- Uturuki Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuanzisha makubaliano yatakayowezesha vijana kutoka Tanzania kunufaika na fursa za mafunzo, uzoefu wa biashara na kuunganishwa na vijana wenzao kupitia Jukwaa la Young MÜSIAD ili kukuza mtandao wa biashara, ujuzi na kutengenenza rasilimaliwatu…
Mabalozi wa Utalii waahidi kuulinda Ushoroba wa Kwakuchinja
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Wanafunzi 40 walioteuliwa kuwa Mabalozi wa Uhifadhi na Utalii, wilayani Babati mkoa Manyara, wameahidi kuyalinda mapito ya wanyama(shoroba) ya kwakuchinja,yaliyopo katika eneo la Hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori ya Burunge, iliyopo kati kati ya hifadhi…
Wizara ya Viwanda na biashara yapania kuanzisha kongani
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imepanga kuanzisha kongani za biashara katika kila wilaya nchini kuwasadia Wakulima,Wafanyabiashara na Vijana kuchakata mazao ili kuyaongezea thamani. Akizungumza na waandishi wa habari katika Kituo cha Urithi wa Ukombozi jijini Dar es…
Msigwa :Waandishi Vita ya Dunia imehamia kwenye taarifa za mtandaoni kuweni makini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Greyson Msigwa, amewataka waandishi wazalishaji habari mtandaoni kutambua kuwa dunia ya vita yake haitumii silaha…
CRDB yashirikiana na Kids’ Holiday Festival kukuza elimu ya fedha kwa watoto
Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imeingia makubaliano ya ushirikiano na Kids’ Holiday Festival kwa lengo la kuandaa matamasha ya watoto yatakayolenga kuwawezesha kukuza maarifa katika masuala ya fedha, uwekezaji na akiba, hatua inayolenga kujenga msingi…





