Category: MCHANGANYIKO
Waziri Mkuu Mwigulu avutiwa kasi utekelezaji mradi wa EACOP, kuzalisha ajira, kukuza uchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amevutiwa na maendeleo ya mradi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kutoa kipaumbele cha ajira kwa wazawa na…
Naibu Waziri Dk Dugange atoa rai kwa watendaji kulipa umuhimu suala la uchumi wa buluu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange ametoa rai kwa watendaji kulipa umuhimu suala la Uchumi wa Buluu kuwa sehemu ya agenda katika vikao vya pande mbili za…
Mawaziri wakutana Lushoto kutafuta suluhu ya migogoro ya wananchi Tanga
Na OWM – TAMISEMI, Lushoto Mawaziri saba (7) wa kisekta wakiwa na mwenyeji wao ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ambaye ni Mbunge wa Lushoto wamekutana wilayani Lushoto kujadili utatuzi wa changamoto na…





