JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mzungu afanyiwa tohara ya kimila Afrika Kusini

Kijana wa kiume Mzungu mwenye asili ya Afrika Kusini, amefanyiwa tohara ya kimila nchini humo. Tohara ya kimila katika baadhi ya makabila nchini Afrika Kusini huashiria hatua ya ukuaji kwa kijana inayompatia hadhi ya kuitwa mtu mzima katika familia.

Soka la Tanzania bado lina changamoto

Wakati  timu ya soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ilipopoteza mchezo wake dhidi ya timu ya Taifa ya Uganda (The Cranes) katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, wiki iliyopita kwa kufungwa goli 1-0, wadau wa soka walikuwa na mengi ya kusema dhidi ya kipigo hicho.

Tunza sura yako ivutie

Kila mtu anapenda sura yake iwe laini, nyororo ya kung’aa. Wakati mwingine sura zetu huchakaa kutokana na mihangaiko ya hapa na pale. Zifuatazo ni hatua za awali za kutunza ngozi ya sura yako ionekane vizuri.

KAULI ZA WASOMAJI

Biashara vyuma chakavu imulikwe

Niliandika barua kwa Katibu Mkuu wa CCM kwamba biashara ya chuma chakavu inafanyika bila leseni, inakwepa kodi, inahujumu miundombinu, inahodhiwa na wageni, inatakatisha fedha chafu, lakini hatua hazijachukuliwa. Ninazidi kuomba chama tawala kitupie jicho kero hii. Haki na amani ni mapacha, na tanzania ni yetu sote.

 

H.Q. Batamuzi

0782 828 856

Ikulu inahangaika na neno SIRI, wezi wanashangilia!

Wiki iliyopita nimepata msukosuko. Haukuishia kwangu tu, bali hata wafanyakazi wenzangu – Edmund Mihale na Manyerere Jackton – nao yamewakuta sawa na yaliyonikuta mimi. Jumatano ya Julai 17, 2013 nilipokea simu ya wito kutoka Polisi Makao Makuu, Dar es Salaam.

Muziki wa kizazi kipya na ubunifu hafifu

Sanaa ya muziki nchini Tanzania inakuwa siku hadi siku. Kuna viashiria fulani ambavyo kwa namna moja ama nyingine, vinaonesha ukuaji wa sanaa hii ambayo mojawapo ya kazi zake ni kuburudisha na kuelimisha.