Category: MCHANGANYIKO
Muziki wa kizazi kipya na ubunifu hafifu
Sanaa ya muziki nchini Tanzania inakuwa siku hadi siku. Kuna viashiria fulani ambavyo kwa namna moja ama nyingine, vinaonesha ukuaji wa sanaa hii ambayo mojawapo ya kazi zake ni kuburudisha na kuelimisha.
Mikataba siri ya mafanikio Rwanda
Wakati maelfu ya wanafunzi Tanzania katika shule za msingi nchini wanakosa madawati na vitabu, nchini Rwanda nusu ya wanafunzi wanamiliki kompyuta mpakato.
Ajira ya vijana Chadema ni ‘ukomandoo’
Tangu nchi yetu iliporuhusu tena mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992, imeendelea kushuhudia mengi – mazuri na mabaya. Ninamuomba Mungu aendelee kutuepusha na hayo mabaya.
Viwanda vyayumbisha korosho Mtwara
Viwanda 12 vya kubangua korosho nchini vilivyobinafsishwa na Serikali chini ya Rais Benjamin Mkapa hivi sasa vimegeuzwa maghala ya kuhifadhi mazao.
MISITU & MAZINGIRA
Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (Hitimisho)
Wiki iliyopita, Dk. Kilahama alianza kuainisha manufaa ambayo wananchi vijijini watapata kutokana na Mpango wa Usimamizi Shirikishi wa Misitu Vijiji. Hii ni sehemu ya mwisho ya mfululizo wa makala ya ‘Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania’
Kardinali Pengo atoa ya moyoni
Wapendwa waamini, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, nanyi nyote ndugu zangu wenye mapenzi mema! Baada ya Mkutano Mkuu wa SECAM, huko Kinshasa ambao pia ulihitimisha kipindi changu cha miaka sita na nusu kama Rais wa SECAM, napenda kuwaletea salamu za mkutano mkuu huo kwa kutafakri pamoja nanyi kipengele kimoja kati ya vingi vilivyozungumzwa katika mkutano huo: Wajibu wa Viongozi wa watu Barani Afrika kutekeleza haki kwa kila mwana nchi pasipo kukawia wala kusitasita.