Category: MCHANGANYIKO
Serikali yaahidi kusaidia JKT
Julai 10, mwaka huu, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, aliwaoongoza Watanzania katika maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), yaliyofanyika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Kilichoiangusha CCM Arusha
Uchaguzi wa madiwani uliofanyika mjini Arusha katikati ya mwezi huu, una haki ya kuwa fundisho kwa chama tawala CCM.
FIKRA YA HEKIMA
CCM waache unafiki tozo ya kodi ya simu
Nianze kwa kuwashukuru wasomaji wa JAMHURI waliotumia muda na gharama kunipigia simu na kunitumia ujumbe mfupi wa maneno (SMS), kuelezea maoni na mitazamo yao kuhusu makala niliyoandika wiki iliyopita katika Safu hii, iliyokuwa na kichwa cha habari “Majeshi ya vyama vya siasa yafutwe”.
Waislamu tuwatambue maadui wetu
Ndugu zangu, tunapokuwa tunajiuliza mhemuko wa udini unatoka wapi au nani wameusababisha na kuuasisi, si vibaya tukajua maadui wakuu kwa upande wetu Waislamu.
FASIHI FASAHA
Jina Tanganyika lina kasoro gani?
Rasimu ya Katiba inaeleza, “Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Shirikisho lenye Mamlaka Kamili ambayo imetokana na Muungano wa nchi mbili za Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambazo kabla ya Hati za Makubaliano ya Muungano ya mwaka 1964 zilikuwa nchi huru.” (Sura ya kwanza – Jamhuru ya Muungano 1. (i).
Yah: Kodi ya simu Yes, ya madini No
Kila kukicha siku hizi ni mpango madhubuti wa kodi mpya. Sasa nasikia inataka kuibuka kodi ya simu, yaani tuwe tunalipia kila mwezi Sh 1,000. Kwa kweli tutakoma, maana hiyo sayansi ya mawasiliano mlivyoileta kwa kasi ilitufanya tujisahau mambo mengi. Kumbe ulikuwa ni mtego wa kutuingiza katika tatizo hili.