Category: MCHANGANYIKO
Waraka kutoka mtandaoni
Wanaosoma Ujerumani wamlilia Kikwete
Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete, kwanza naomba niombe msamaha kwa kutumia forum hii badala ya kukuandikia binafsi. Hii ni kwa sababu ya dharura ya jambo lenyewe linalohitaji hakika hatua za haraka sana ili kuokoa haya yanayotokea. Hivyo, naomba unisamehe kwa kuweka bayana hili hapa.
Hongera Kikwete, Membe; Salva rekebisha kasoro hii
Julai 1 na 2 zilikuwa siku za pekee katika historia ya Tanzania. Tanzania ilihitimisha kilele cha ugeni mkubwa kuja hapa nchini ndani ya mwaka mmoja. Katika siku hizi taifa lilikuwa na ugeni mkubwa wa Rais wa Marekani, Barack Obama.
Afrika inaelekea kutawala uchumi Afrika (1)
Nawasalimu wasomaji wote, ninawapongeza na kuwashukuru wote ambao wamekuwa wakiwasiliana nami. Mbarikiwe. Itakumbukwa kuwa huko nyuma nimepata kuandika makala iliyokuwa na kichwa, ‘Naiona Afrika ikiinuka tena’.
Tulichojifunza kutoka ziara ya Obama
Rais Barack Obama wa Marekani aliingia Tanzania Jumatatu Julai 1, mwaka huu, akaondoka Jumanne Julai 2. Mambo mengi yalitokea wakati wa ziara yake. Mengine ni mazuri tuyaendeleze, mengine ni mabaya tujisahihishe. Yote hayo ni mafunzo tuliyopata kutoka ziara ya rais huyu wa Marekani mwenye asili ya Afrika.
Mkutano Mkuu Simba kuamua hatima ya Rage
Mkutano Mkuu wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya Dar es Salaam unaotarajiwa kufanyika Julai 15, mwaka huu, jijini ndiyo utakaoamua iwapo Mwenyekiti wa timu hiyo, Ismael Aden Rage, ataendelea kushika wadhifa huo au la.
MISITU & MAZINGIRA
Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (4)
Toleo lililopita, Dk. Kilahama alieleza umuhimu wa viongozi wa vijiji na jamii kuhakikisha wanapata manufaa kutokana na misitu, hasa ya asili. Akasisitiza umuhimu wa uongozi bora na imara katika vijiji na vikundi vya kijamii. Endelea.